VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kwani kwenye picha ya kwanza,mwanamke yupi?
Kwani kwenye picha ya kwanza,mwanamke yupi?
....wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi wa chinichini kwa muda mrefu....Wema alionekana kuwa hoi kwa Kanumba huku kila wakati akimshikashika mabegani.... Wema alisema kwamba, hasikii wala haambiwi kwa Kanumba kwani mapenzi anayopata hawezi kuyapata kwa mwanaume mwingine.
alipotua eapoti akiliwa denda kavu kavu kudadadadeki..
huyu nae alimkoboa....
mara tid, blue, kanumba, jumbe, chalz baba, diamond, etc,, eheee na wengine watafuata,,,,
Kwa sie Wakurya mwanaume ni mwanaume tu sembuse Diamond ana udogo gani?Bado wa nyuma ya pazia!!!
Diamond ni mdogo sana kwa shakumpempe Wema...
Dogo aende kwa babu wa Loliondo sio akapate kikombe tu bali akaogelee siku nzima kwenye pipa la maji ya kikombe cha babu,nahofia kunywa tu hayo maji ya kikombe itakuwa buure kabsaYo Yo una visa utavunja ndoa za watu shauri lako.....ohhh....
....wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi wa chinichini kwa muda mrefu....Wema alionekana kuwa hoi kwa Kanumba huku kila wakati akimshikashika mabegani.... Wema alisema kwamba, hasikii wala haambiwi kwa Kanumba kwani mapenzi anayopata hawezi kuyapata kwa mwanaume mwingine.
...teh...teh...teh!!!so woote waliopita after kanumba sio wanaume?ni wanawake wenzie?
yah sasa zamu ya 20 percent kupewa mzigo,ana tuzo tano.:lol:Mhhh,kaka alamsi na tuzo hujapata mwaka huu,wema hakawii kukutema!
:lol::lol:yah sasa zamu ya 20 percent kupewa mzigo,ana tuzo tano.:lol:
:lol::lol::lol:yah sasa zamu ya 20 percent kupewa mzigo,ana tuzo tano.:lol: