KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
- Thread starter
- #61
mkuu fikiri kidogo,
dada yako anafanya kazi kiwanda cha wazo. Familia yote mnaishi mbagala. Kuna ubaya gani akitafuta chumba maeneo karibu na wazo? Hawa watu hawafugiki na wala hawalindwi au kuchungwa........akiamua kaamua hata awe ndani ya geti kali namna gani.
For her own good na kama anataka kuolewa mapema zaidi, hapaswi kuhama.
Kiukweli inaleta heshima kumchukua binti kwa wazazi wake kuliko umkute yuko full furnished geto kwake.
Ndo mwanzo wa dume zima kuambiwa unikome kwani hukunikuta nalala na njaa,,wanawake wengi wa namna hiyo ni arongant sana.