Elections 2010 CONFIRMED: Lema atangazwa rasmi kuwa mbunge wa Arusha mjini

breaking news
they have just announcd
Chadema with Lema have won
Official and confirmed as of now
 
hii ni kweli?

Sijui bwana. Maana inaelekea kuna majimbo CCM kuyaachia wanaona aibu kama vile kumtokea mama mkwe. Hawakujua hali ya mambo ilivyo. Kama watu wasingelikesha kulinda kura, kuna watu hawana dini wangeziiba.
 
Jamani ni kweli, nimepata taarifa kutoka kwa mama watoto yuko Arusha. Safi sanaaa Viva Chadema.
 
ha haahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. njama zao zimeshindwa CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeeee, People's Power:smile-big::smile-big: honger akaka LEMA katuwakilishe vyema baba tunakuamini huko mjengoni kakakamue
 
Matokeo yametolewa na NEC muda huu
ni kweli Mrema ameshinda Arusha Star TV imetangaza dakika tano zilizopita ila kulikuwa na kelele sana. Mrema alikuwapo na akatoa hotuba fupi kuwashukuru waliompigia kura.

hiyo ndiyo demokrasia
 
Lema mwenyewe mnayetaka kumpigania ni muhuni na tapeli tu. Kama tungefanya intavyuu kati ya Buriani na Lema, kila mtu mwenye akili timamu angemchagua Dr. Buriani. This is where democracy got it wrong. Ideological na ushabiki gets in commonsense.

Yule profesa wa Ulanga (chadema), hata mimi CCM damu, lakini namkubali kuingia bungeni koz it will make it better, kuliko hata mdau wa CCM. Sasa huyu muhuni Lema, anatuwekea jiji letu la bata (A-town) katika roho juu juu. Kazi yenyewe ya ubunge he is unqualified.

Selemani, and who should we blame for that?

I, for one, would blame first and foremost your most noble CCM SG Makamba kwa kuzuia wana-CCM kushiriki "intavyuu" ambazo zingewapa wananchi nafasi ya kuchagua weledi au uhuni.

Lema na wenzake showed up at the "intavyuu" (mdahalo), Batilda of CCM didn't.

Nakubaliana na wewe, ideological na ushabiki wa Makamba got in the way of common sense.
 
Ametangazwa dakika si nyingi.

Source: Star Tv

asante mkuu...sasa amani imenijia....toka asubuhi sijaweza kula nikisubiri kamanda wangu atangazwe....wewe ndio umenipa matumaini ya uhakika...heshima mbele
 
Back
Top Bottom