hii ni kweli?
Ametangazwa dakika si nyingi.
Source: Star Tv
hii ni kweli?
ni kweli Mrema ameshinda Arusha Star TV imetangaza dakika tano zilizopita ila kulikuwa na kelele sana. Mrema alikuwapo na akatoa hotuba fupi kuwashukuru waliompigia kura.Matokeo yametolewa na NEC muda huu
Lema mwenyewe mnayetaka kumpigania ni muhuni na tapeli tu. Kama tungefanya intavyuu kati ya Buriani na Lema, kila mtu mwenye akili timamu angemchagua Dr. Buriani. This is where democracy got it wrong. Ideological na ushabiki gets in commonsense.
Yule profesa wa Ulanga (chadema), hata mimi CCM damu, lakini namkubali kuingia bungeni koz it will make it better, kuliko hata mdau wa CCM. Sasa huyu muhuni Lema, anatuwekea jiji letu la bata (A-town) katika roho juu juu. Kazi yenyewe ya ubunge he is unqualified.
Matokeo yametolewa na NEC muda huu
Ametangazwa dakika si nyingi.
Source: Star Tv