Mwazange
JF-Expert Member
- Nov 16, 2007
- 1,056
- 81
Hivi kwa nini mtu ugawe cherehani (provided kinachosemwa ni kweli)? What's the point of it?
Pointi ni kwamba, kila nguo itakayoshonwa hapo....utakumbukwa ndugu muheshimiwa Omega Psi Phi, mbunge wa ................!