Confirmed: Dmx ni story hayupo

mbona unaleta habari kidaku. Hebu tuhakikishie DMX yupo au hayupo? Na yule bishoo Fabolous na yeye yupo?
 
DMX is on parole haezi kuja. Clouds wametumia tu jina lake kupata hela, wenye ticket wana haki ya kwenda kudai pesa zao
 
Blog gani napata updates za concert hizi mbili juu ya wangapi waliingia, kama ilifana nk. Picha za matukio yaliyojiri.
 
waingie aibu mara ngapi?

Nasikia vinega wameandika historia na rai imetolewa wazunguke TZ nzima. Aluta continuaa wazeee...
tumewachoka kabisa wafu fm wapuuzi mafisadi wa huu muziki
 
Lile "Biti" alilopigwa na Sugu inaelekea lilimuingia.
Baada ya kuuliza uliza akagundua kua kumbe alikua anakuja kuwasaliti wana.
Mtu wa nje tu kagundua kua Clouds michongo yao sio wala nini, kina Jay Mo, Afande na wengineo wanashindwa vipi kuliona hili??
 
Lile "Biti" alilopigwa na Sugu inaelekea lilimuingia.
Baada ya kuuliza uliza akagundua kua kumbe alikua anakuja kuwasaliti wana.
Mtu wa nje tu kagundua kua Clouds michongo yao sio wala nini, kina Jay Mo, Afande na wengineo wanashindwa vipi kuliona hili??

Ndo hapo sasa..
 
Bishoo alikuwepo na tena bila aibu alifanya shoo kwa dakika 30 tuu huku wasanii wa ndani wakipafomu kwa masaa mengi karibu 7.....aibuuuuu...waliofikiri VINEGA wangechemsha sasa ilikuwa kinyume....clouds shame upon...
mbona unaleta habari kidaku. Hebu tuhakikishie DMX yupo au hayupo? Na yule bishoo Fabolous na yeye yupo?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom