hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Hawa ni wale walioshauriwa kwenye vituo vya afya na kupata madhara hayo,Soma snowhite alivyo confes,tuache siasa yapo yamekukuta..
Mkuu kushauriwa katika kituo cha afya HAIMAANISHI MADHARA(SIDE EFFECTS) za dawa hazitakuja, muhimu ni kujua lini zitakuja na utakabiliana nazo vipi.
-Anyway ngoja tusubiri waliotumia labda, labda mkuu.