BarzedMerira
New Member
- May 9, 2015
- 1
- 0
katika maisha ya sasa inaonekana wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la mpango je inawezekana tukawa tunafunga sisi wanaume badala ya wanawake?
katika maisha ya sasa inaonekana wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la mpango je inawezekana tukawa tunafunga sisi wanaume badala ya wanawake?
mambo ya wazungu hayo!
Kaka inawezekana saana mwanaume kufunga uzazi tena bila kupata madhara yeyote. Mimi mwenyewe nina mpango wa kufanya hivyo kwani tayari nina watoto saba kwa wake saba.
Nina rafiki yangu wa kiume ambaye ana mkewe walishauriana kuchoma sindano za uzazi wa mpango tangu sindano hiyo kuisha muda wake tarehe 3 mwezi 7 hajaona siku zake hadi leo.
Ingawaje hupata dalili zote za tumbo kumuuma sana miguu lakini hazimfikishi kuona siku zake .
Nawasilisha kwenu kwa ushauri au njia za ufumbuzi wa hilo tatizo.
Asanteni.
Dawa ya kumtibu ili apate siku zake anitafute mimi ninayo hiyo dawa akihitaji huduma yangu bonyeza hapa.MawasilianoNina rafiki yangu wa kiume ambaye ana mkewe walishauriana kuchoma sindano za uzazi wa mpango tangu sindano hiyo kuisha muda wake tarehe 3 mwezi 7 hajaona siku zake hadi leo.
Ingawaje hupata dalili zote za tumbo kumuuma sana miguu lakini hazimfikishi kuona siku zake .
Nawasilisha kwenu kwa ushauri au njia za ufumbuzi wa hilo tatizo.
Asanteni.
Ni kwa sababu sio watu!Wanawake wanapenda kukihatarisha afya zao cjui kwnn
Ni kwa sababu sio watu!