Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Wanawake wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kupinga hili kusimuliana madhara yatokanayo uzaz wa mpango lkn wako kimya!
laiti kama kungekuwa na nguvu mbili
yaani Inayopinga na Inayo hamasisha
sasa ipo nguvu moja tu inayohamasisha we unafkili watu watajulia wapi madhara yake?? Kama vile Cdm na Ccm lazma watu wajue kuwa kuna ufsadi!
laiti kama kungekuwa na nguvu mbili
yaani Inayopinga na Inayo hamasisha
sasa ipo nguvu moja tu inayohamasisha we unafkili watu watajulia wapi madhara yake?? Kama vile Cdm na Ccm lazma watu wajue kuwa kuna ufsadi!