CONDOMS fupi zakataliwa na TBS, zilitoka Korea!!

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Size matters!!

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limelazimia kurudisha kondomu zilizoingizwa nchini kutoka Korea baada kondomu hizo kugundulika kuwani ndogo.

Akizungumza katika ziara ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Mtaalamu Mwandamizi wa Maabara wa TBS, Mary Mlembe alisema kuwa kondomu hizo ziliingizwa nchini kutoka nchini Korea zikuwa fupi na hivyo kutofaa wa watanzania.

Mlembe ambaye alikuwa akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu juu ya ubora wa kondomu na jinsi ya kuzifanyia uchunguzi alisema baada ya kufanyiwa uchunguzi kondomu hizo ziligundulika kuwa zilikuwa hazikidhi viwango vya kimataifa vinavyokubalika kwani zilikuwa fupi.

"Kuna wakati TBS tulipokea Kondomu kutoka nchini Korea lakini baada ya kuzifanyia uchunguzi tuligundua kuwa hazikidhi viwango vya kimataifa kwa kuwa zilikuwa fupi ulikinganisha na urefu unaohitajika," alisema Mlembe.

Alisema katika kupima ubora wa kondomu hizo TBS hutumia viwango vilivyowekwa kimataifa ambavyo vinakubalika na nchi mbalimbali.


Alisema kwa sasa viwango vinavyokubalika kimataifa ni urefu usiopungua nchi 160 na kuendelea na upana wa nchi 53 wakati unene unatakiwa kuwa sentimita 0.07.

Hawa watu wanaoleta bidhaa kutoka nje wanafikiri watu wote duniani wana viwango sawa? Labda kama zingekuwa kwajili ya watoto wa shukle za msingi!!!!
Source: JamboNetwork.com


SteveD.
 
Hapa nilipo nakuna kichwa tu, hizo kondomu zingetengenezwa Bongo au Afrika sijui kama zingewatosha watu wa Korea.... au ndiyo hivyo tena, zinge wapwaya?!! :p

6uhw9qh.gif
 
Alisema kwa sasa viwango vinavyokubalika kimataifa ni urefu usiopungua nchi 160 na kuendelea na upana wa nchi 53 wakati unene unatakiwa kuwa sentimita 0.07.

Nani kati yenu aliyajua hayo?! lol
6yk4odi.gif
 
Alipotosha kitu gani hapo...

kama alivyoeleza steve D

Hapa nilipo nakuna kichwa tu, hizo kondomu zingetengenezwa Bongo au Afrika sijui kama zingewatosha watu wa Korea.... au ndiyo hivyo tena, zinge wapwaya?!!

Angesema ni fupi ingetosha!
AM sure hiyo standard ya kimataifa anayoizungumzia, kama zinawatosha wabantu basi ujue hawa jamaa wa korea zitakuwa buga (substandard), and the viceversa.
 
Angesema ni fupi ingetosha!
AM sure hiyo standard ya kimataifa anayoizungumzia, kama zinawatosha wabantu basi ujue hawa jamaa wa korea zitakuwa buga (substandard), and the viceversa.

Duuh, eti zitakuwa 'buga', ... ha ha ha ha.. mbona wewe kasana mtundu wa maneno sana.. lol :D

btw, buga ni neno linalotokana na neno baggy au?!
 
Haha ni kweli kabisa, urefu ni sehemu ya kiwango pia. Nadhani huyo mwanadada mnayesema amepotosha, atakuwa na first hand experience ya hii kitu. For sure hata sisi tungepeleka za kwetu kwao zingekuwa "buga" kama alivyosema kasana!
 
Duuh, eti zitakuwa 'buga', ... ha ha ha ha.. mbona wewe kasana mtundu wa maneno sana.. lol :D

btw, buga ni neno linalotokana na neno baggy au?!

Buga na bagi ni tofauti, cheki buga inavyookuwa, angalia zaidi upana wake hapo chini..
mens-fashion-70s.jpg
 
hii kali...huyo mtoa maelezo yaani huyo mama...inamaana anauzoefu sana juu ya mipini ya wabongo ndoo maana kaona hizo ni fupi..
 
Hivi ni macho yangu ama nimesoma vibaya? Kuna mpini wenye urefu wa nchi 160? Yaani hapa tunaongela urefu wa zaidi ya futi 12, ni condom gani yenye urefu huo? Halafu upana nchi 53 (zaidi ya futi 4)! Huyu dada nadhani kachanganya vipimo, maana hata kama ni sentimita bado ni size ya ajabu sana!
 
Hivi ni macho yangu ama nimesoma vibaya? Kuna mpini wenye urefu wa nchi 160? Yaani hapa tunaongela urefu wa zaidi ya futi 12, ni condom gani yenye urefu huo? Halafu upana nchi 53 (zaidi ya futi 4)! Huyu dada nadhani kachanganya vipimo, maana hata kama ni sentimita bado ni size ya ajabu sana!
Labda alikuwa na maana ya millimeters...
 
....Nyani Ngabu, any comment here in relation to a 'man of miniature proportions'?!...
 
Asians wana vidudu vidogo sana ukilinganisha na watu wa sehemu nyingine na Afirika mnangoza kwa kuwa na mipini mirefu na mikubwa kwa hiyo hawa wakorea hawakukosea kwani wametengeneza kulingana na size za kwao. Didude vidogo kama vidole!!!

Kwa maelezo na elimu zaidi tembelea hapa chini.

http://www.average-penis-size-chart.com/african-caucasian-oriental.html

Mtoto wa Mkulima,

Lazima nikupe tano ya nguvu.Yaani kuna chati za kuonyesha ukubwa wa sebenee...duhhh!!!!...Waafrika number moja sio? JF kiboko yao!!! Naona kuna wataalam wa risechi!!!...LOL!
 
Hivi ni macho yangu ama nimesoma vibaya? Kuna mpini wenye urefu wa nchi 160? Yaani hapa tunaongela urefu wa zaidi ya futi 12, ni condom gani yenye urefu huo? Halafu upana nchi 53 (zaidi ya futi 4)! Huyu dada nadhani kachanganya vipimo, maana hata kama ni sentimita bado ni size ya ajabu sana!

Keil,

Sema mjomba.Naona umo kwenye maswala ya mpini!!!!...LOL!
Mimi pia nilikua naona hio kasoro hapao na sijui vipi.Hebu SteveD
tuambia inakuaje?

P.S. Kondom yenye urefu wa futi 12 lazima ni zile air ballons!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom