Concept of love: Does love come automatically?

Hellow, help me here please! Nimekuwa na changanywa hapa. Wengne nataka mume mweupe, oh nataka mke mwembamba, nataka niolewe na kipanga . . Mara hivi mara vile. Sasa swali ni je una~identified characteristics za mtu ndio 'unaamua kumpenda' au you happen to love her/him automatically without considering those qualities?


Yote mawili hutokea lakini kwa hali yetu ya sasa mapenzi mengi yanakuja kwa vinogesho mbali mbali.
 
love inakuja automatically mkuu haya mengne ni mbwembe tu ndio maan unaweza kuoa/ kuolewa then ukampenda mtu mwingne haya ya pesa, urefu, rangi hamna kitu ni michezo tu ya wakuigiza,
 
Ronn M kwakua hujanitaja basi sichangii mwaego.

Loh, jamani! Kwanza nisamehewe kwa kutokukutaja,hata nikitoa excuse hazitasaidia. With due diligence and all respect

coming from the inner part of my heart, understanding your undisputed contributions in JF and especially in MMU, taking

into consideration your valuable knowledge and experience in matters of love and romance, having in mind that your

posts are always having something substantial worthy of educating others, taking into account that your views will add

qualities and substance in this threat and wishing to see ur thoughts reduced in words in this threat, I, therefore,

without being forced by any person, in my free volition, invite you gfsonwin to contribute in this

thread. with due respect, welcome madam
 
Last edited by a moderator:
Yote mawili hutokea lakini kwa hali yetu ya sasa mapenzi mengi yanakuja kwa vinogesho mbali mbali.

Sasa hivyo vinogesho ndio vipi Ngekewa? Na je ndivyo inavyopaswa kuwa au ndio hiyo 'hali yetu

ya sasa'? Je huleta mapenzi ya kweli
 
Last edited by a moderator:
love inakuja automatically mkuu haya mengne ni mbwembe tu ndio maan unaweza kuoa/ kuolewa then ukampenda mtu mwingne haya ya pesa, urefu, rangi hamna kitu ni michezo tu ya wakuigiza,

Kwa maana hiyo unakuwa umemwoa/umeolewa na ambaye hujampenda?
 
Ronn M, ninavyoamini mimi kila mtu ana characteristics ambazo angependa mwenzawake awe navyo lakini hivyo vigezo sometimes changes with time what I wanted 5 years ago would not be the same as of now. Unaweza ukapenda mtu bila kuwa na hivyo vigezo lakini with time you find he/she has more to give that what you thought its important, here I mean you learn to love the person by knowing him day after day, its gradual process but I feel its more safe. Unakuwa unampenda mtu by knowing him/her in and out na hii its more of matured individual again looks becomes irrelavant.

Halafu kuna wa wale wanaopenda kutokana na vigezo vya muoneka, mwembamba, mweupe, blue sijui ananini, hizi type za mapenzi mimi huwa ninashindwa kuzielewa. Sasa huyo mwembamba akinenepa, au weupe ukatokea kama ni mkorogo mnaanza kumwagana. Muonekano muhimu lakini sio kila kitu katika relashionship sometimes it worthy trading off between appearance and other more important factors ie behaviour, smartness


Im learning something good here! Love is a gradual process. It has to grow with time! However in practice people who are supposedly in love get tired to each other as days go on. Of course there are some exceptions. Lakini kama kila siku zikienda upendo unapungua then something went wrong somewhere
 
Loh, jamani! Kwanza nisamehewe kwa kutokukutaja,hata nikitoa excuse hazitasaidia. With due diligence and all respect

coming from the inner part of my heart, understanding your undisputed contributions in JF and especially in MMU, taking

into consideration your valuable knowledge and experience in matters of love and romance, having in mind that your

posts are always having something substantial worthy of educating others, taking into account that your views will add

qualities and substance in this threat and wishing to see ur thoughts reduced in words in this threat, I, therefore,

without being forced by any person, in my free volition, invite you gfsonwin to contribute in this

thread. with due respect, welcome madam
Ronn M, you cant be serious with what you you have written.............lol! maneno matam ya kumtoa nyoka pangoni atii! but sinimesha changia?

back to the point.
From my experience, na hapa mnaruhusiwa kunikosoa ama kuchangia pia. mahusianao mengi yaliyodumu ama yanayodumu kwa muda refu basi nai yale ambayo yana meet qualities za walengwa. Nikimaanisha kuwa kila mmoja ana kuwa na qualities ambazo anazitaka so atakuwa akichagua mpenzi kulingana na qualities hizo. vigezo hivi si vile vya vitu vya nje la hasha bali vile vya vya mtu binafsi yaani wasifu wa mtu mwenyewe tena hasa wa ndani na wa nje baadae.

mapenzi yanayolengwa kwa kutumia sifa za vitu vya mtu ama magari, nyumba kazi , hela nk huwa hayadumu kabisa mara nyingi yanaishiaga njiani. ila yale yanayojengwa wa kutumia wasifu wa muhusika wa nje kama urefu, mwili mzuri ngozi rangi fulan nk huu huwa pia hauna tatizo.kadhalika na ul unaopimwa kwa vtu visivyoonekana kama upole ukarim nidham nk.

wasifu huu ukawepo kwa muhusika basi mapenzi juu ya muhusika huanza kukua taratibu. mwonekano wa awali ule unaoleta mvuto huweza pia kuchochea penzi iwapo utasaidiwa na wasifu wa nje na wa ndani.

so kwa mtazamo wangu kinachoanza ni sifa za muhusika ndipo upenda unafuata. na hapa yatupasa kutofautisha kati ya kupenda na kutamani. ni hyao tu Ronn M
 
Last edited by a moderator:
Ronn M, you cant be serious with what you you have written.............lol! maneno matam ya kumtoa nyoka pangoni atii! but sinimesha changia?

back to the point.
From my experience, na hapa mnaruhusiwa kunikosoa ama kuchangia pia. mahusianao mengi yaliyodumu ama yanayodumu kwa muda refu basi nai yale ambayo yana meet qualities za walengwa. Nikimaanisha kuwa kila mmoja ana kuwa na qualities ambazo anazitaka so atakuwa akichagua mpenzi kulingana na qualities hizo. vigezo hivi si vile vya vitu vya nje la hasha bali vile vya vya mtu binafsi yaani wasifu wa mtu mwenyewe tena hasa wa ndani na wa nje baadae.

mapenzi yanayolengwa kwa kutumia sifa za vitu vya mtu ama magari, nyumba kazi , hela nk huwa hayadumu kabisa mara nyingi yanaishiaga njiani. ila yale yanayojengwa wa kutumia wasifu wa muhusika wa nje kama urefu, mwili mzuri ngozi rangi fulan nk huu huwa pia hauna tatizo.kadhalika na ul unaopimwa kwa vtu visivyoonekana kama upole ukarim nidham nk.

wasifu huu ukawepo kwa muhusika basi mapenzi juu ya muhusika huanza kukua taratibu. mwonekano wa awali ule unaoleta mvuto huweza pia kuchochea penzi iwapo utasaidiwa na wasifu wa nje na wa ndani.

so kwa mtazamo wangu kinachoanza ni sifa za muhusika ndipo upenda unafuata. na hapa yatupasa kutofautisha kati ya kupenda na kutamani. ni hyao tu Ronn M

thanks a lot gfsonwin, sasa ndivyo kusema upendo ni choice and does not come automatically? In

other words; can you see a person meeting all your qualities, internal and external and yet you choose not to love

him/her?
 
Last edited by a moderator:
thanks a lot gfsonwin, sasa ndivyo kusema upendo ni choice and does not come automatically? In

other words; can you see a person meeting all your qualities, internal and external and yet you choose not to love

him/her?

hiyo ipo yupo mtu kwa mtazamo wa nje anaqualities zote lakin utauta moyo wako hauambatani naye, sababu kubwa hapa ni hidden attributes like Mungu anasema na wewe dont go there. Ndivyo niichukuliavyo mimi. kwani wewe wanawake wte unaodate nao ndio uliwah kuwatongoza? jibu hapana yawezekana ulitongoza hata 50 lkn ukadate na 10 tu kwanini hao wengine ukawaacha?
 
hiyo ipo yupo mtu kwa mtazamo wa nje anaqualities zote lakin utauta moyo wako hauambatani naye, sababu kubwa hapa ni hidden attributes like Mungu anasema na wewe dont go there. Ndivyo niichukuliavyo mimi. kwani wewe wanawake wte unaodate nao ndio uliwah kuwatongoza? jibu hapana yawezekana ulitongoza hata 50 lkn ukadate na 10 tu kwanini haon wengine ukawaacha?

There is great thing within those worlds underlined! Nadhani with love its more that qualities and characters! its more

than just feeling for him/her. Something beyond your control must happen. And for those who believe in God, God has to

speak something in a normal way he uses to speak to you other stuffs!
 
Sasa hivyo vinogesho ndio vipi Ngekewa? Na je ndivyo inavyopaswa kuwa au ndio hiyo 'hali yetu

ya sasa'? Je huleta mapenzi ya kweli

Vinogesho hivyo ni vingi na kila kesi ina vigezo vyake. Lakini hivi sasa kigezo kikubwa ni Fedha, nikimaanisha uwezo. Usipokuwa na feddha,basi angalau uwe na kazi yenye muelekeo wa maisha mazuri.

Ama iwapo mapenzi yanaweza kuwa ya kweli kwa vinogesho hivyo mimi naamini mapenzi hata yaliyonogeshwa kwa Fedha yanakuwa ya kweli iwapo tu hizo fedha zitawaunganisha wawili!
 
Back
Top Bottom