Comred Mugabe aomba USA kuondoa vikwazo

Afadhali kaufyata kabla wa kwetu hajajzidi kushupaza shingo kwa kuiga kwa muga, Mungu analipenda taifa hili.
 
Mugabe angekuwa muelewa wakati huu ilimfaa kuachia madaraka kuitisha uchaguzi wa huru na haki yy anajidai kiburi kwa miaka yote hiyo walioathirika ni wananchi wa hali ya chini
 
Alikua abawatukana magharibi akijua atashirikiana kibiashara na china mamb yatakua mazuri.....sasa ametambua kuwa mabenk EU na US yakikuwekea ngumu lazima uisome namba haijalish biashara unafanyia wapi
 
Alikua abawatukana magharibi akijua atashirikiana kibiashara na china mamb yatakua mazuri.....sasa ametambua kuwa mabenk EU na US yakikuwekea ngumu lazima uisome namba haijalish biashara unafanyia wapi
China ni moja ya wawekezaji wabovu katika ulimwengu huu!
 
This person is amazing really. ..ni SIMBA haswa nikiangalia afya yake. ..magnificent. .
 
Back
Top Bottom