Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Mugabe kawa kama Jaji Elibariki
Akha!! Kwani nimemtaja mtu hapo?
Siyo hivyo tu bali anahisi Upinzani utapindua nchiNawaonea tamaa ambao nchi zao marais wametoa speech, general assembly! Sisi rais hataki kwenda mbali anahisi Upinzani utakuwa huru!
China ni moja ya wawekezaji wabovu katika ulimwengu huu!Alikua abawatukana magharibi akijua atashirikiana kibiashara na china mamb yatakua mazuri.....sasa ametambua kuwa mabenk EU na US yakikuwekea ngumu lazima uisome namba haijalish biashara unafanyia wapi
Haswaa sema viongoz wetu waafrica wanawapenda coz wale wanachojua ni biashara tu hawahoji umeua watu wangapi kwa mwaka wala demokrasia wao hawana mda huoChina ni moja ya wawekezaji wabovu katika ulimwengu huu!
Hata hivyo wanafata walichokiijia basi hayo mengine huwa hayawahusuHaswaa sema viongoz wetu waafrica wanawapenda coz wale wanachojua ni biashara tu hawahoji umeua watu wangapi kwa mwaka wala demokrasia wao hawana mda huo
Nikweli kabisaHata hivyo wanafata walichokiijia basi hayo mengine huwa hayawahusu