Kumbe Vihiyo wanakubalika hata kwa PM..................................
Kumbe Vihiyo wanakubalika hata kwa PM..................................
nani kihiyo hapo? kama unamaanisha Uli ndo kihiyo basi sioni tofauti ya akili yako na ya Sofia Simba!
si walisema ulimboka si dokta? eti hakumaliza internship.
propaganda zao hatimaye zimewageukia wenyewe.
Vihiyo wamejazana kwenye ofisi zenu mnazopeana kazi kwa kujuana. Wengine by virtue of their profession, shake hands with anybody bila kujuana nao! And that is where the difference is...Kumbe Vihiyo wanakubalika hata kwa PM..................................
our hero
View attachment 47069