Jamani naomba mwenye kufahamu anijuze nini cha kufanya juu ya tatizo la computer yangu kuwa nzito, Computer yenyewe ni DELL laptop, yaani kila nikifungua programme yeyote inakuwa nzito mno wakati antivirus (NOD 32) inayo na nina update kila siku.
solution ya fasta fanya hivi,
right clk my computer, select propety, then click advance setup, then click performance, then utaona vijibox click kwenye best perfomance badala ya best apearance.
Fanya hvyo itakusaidia.
Jamani naomba mwenye kufahamu anijuze nini cha kufanya juu ya tatizo la computer yangu kuwa nzito, Computer yenyewe ni DELL laptop, yaani kila nikifungua programme yeyote inakuwa nzito mno wakati antivirus (NOD 32) inayo na nina update kila siku.
Computer yako kuwa nzito Computer yako kuenda taratibu kuna saabu nyingi zinafanya ya kwanza ni wakati unapofunguwa Computer yako kuna Program nyingi zinafunguka na unakuwa wewe huzitumii na zinakuwa zinafanya kazi pasipo wewe kujuwa,pili ni kuwa kwenye
Computer yako kuna Virus au Malware au Worm au Trojan. weka hii Program kwenye Computer yako ujwe kuna program gani zinazokwenda bila wewe kujuwa na ujaribu kuondosha (Tick) uzipunguze bonyeza hapa Autoruns for Windows
Kompyuta nzito. In maana kuna application na program zinashilkilia memory ha hata kama huzitumiiii.
kama alivyoandika mzizimkavu hapo juu na ushauri aliokupa ni mzuri
Najaribu kuongezea machache hapa
Simple opption ni wewe kufanya system restore
Another option kama wewe ni una atleast medium knowledge na IT fanya reseacrh kwa nini inakuwa nzito angalia process zinazorun ukiwasha anagalia zinakula % ngapi ya memory na % CPU. angalia ni process gani zina run lakini huzitumii.Tafuta ni process gani inakula memmory sana na process gani inatumia % ya CPU time. Ukipatamajibu unaweza kujua nini cha kufanyakama
stopping pocess amabzo si za muhimu sana kustart automatically computer inavyowaka
Kujua kaa kuna process za ajabu amabzo ni virus
Kama umeibebesha computer program nyingi huku ikiwa na memory ndogo
kuna huo ushauri wa Mzizimkavu nimeufuata somehow imesolve tatizo ila ili kumaliza wameniambia ni buy hiyo software, imescan ikaona computer ina 1830 erros ikaclear only 100 errors iliyobaki, ili kuondoa kabisa tatizo imenitaka kununua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.