Computer inapoteza kumbukumbu.

deecharity

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
931
503
Habari zenu wakubwa, laptop yangu inapoteza kumbukumbu kwenye upande wa saa na calender na kila nikirekebisha inajirudia tatizo linaweza kuwa nini?
 
Japo hujaeleza inapotezaje majira na calender lakini kuna mambo mawili ya kuyakagua.

1. C MOS Battery - pengine imekwisha inahitaji kubadilishwa au
2. Kwenye Time and Date Properties umeitune kwamba ijirekebishe saa kufuatana na Internet time za sehemu fulani kwa hiyo kila unapoconnect internet, inarekebisha saa zako ziendane na sehemu uliyoset. Angalia hiyo dialogue box hapo chini

View attachment untitled.bmp
 
Hebu right click hapo kwenye saa..kisha click adjust Date &Time

angalia hapo kwenye time zone umeset mji gani? inatakiwa kuwa Nairobi au mji mwingine wowote ambao majira yake ni (GMT +03:00)

Kama ipo sawa....basi huenda CMOS battery imeisha nguvu ni ya kubadilisha!!
 
Inaweza kuwa ni cmos, kama ukibadilisha tarehe inajibadili kabla hujaizima basi hiyo ni virus.
 
Back
Top Bottom