Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
mkuu hapa watu wengi tunatumia computer moja hivyo baadhi ya file zangu zinafutwa
nimejaribu kufungua new account lakini unaweza kuifungua na kuweka pasword lakini uki-restart na ukaingiza user name yako uliyo creaate pamoja na password inagoma kabisa.
ni DELL,Service park 3,inatumia Window xp,
na je kuna uwezekano wa kufungua computer iliyofungwa na adm bila kkuwa na password
naomba msaada
nimejaribu kufungua new account lakini unaweza kuifungua na kuweka pasword lakini uki-restart na ukaingiza user name yako uliyo creaate pamoja na password inagoma kabisa.
ni DELL,Service park 3,inatumia Window xp,
na je kuna uwezekano wa kufungua computer iliyofungwa na adm bila kkuwa na password
naomba msaada