Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Hii mashine 'Computer desktop Dell' nilikuwa nimeituliza bila kuiwasha kwa miezi karibu mitatu sasa. Leo nimeiwasha naona Screen yake inaleta chenga na mawimbi ya kufa mtu. Naona picha inachezacheza kama inatingishwa. Wataalam wa JF Huduma ya kwanza tafadhali kwa wanaojua.