Computer inaleta chenga pamoja na mawimbi.

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Hii mashine 'Computer desktop Dell' nilikuwa nimeituliza bila kuiwasha kwa miezi karibu mitatu sasa. Leo nimeiwasha naona Screen yake inaleta chenga na mawimbi ya kufa mtu. Naona picha inachezacheza kama inatingishwa. Wataalam wa JF Huduma ya kwanza tafadhali kwa wanaojua.
 
Angalia wire wa CPU to monitor kama mzima au umeunganisha vizuri na wire zingine pia.ikiwezekana jaribu hata kubadilisha hizo wires
 
Situpi! Bora niweke iwe mzinga wa nyuki.

Watanzania wanajulikana kwa kuweka makorokoro. Hivi vitu vina life span, ikifika, inakuwa ni hasara kujaribu kuvitengeneza ndio maana walioviunda huko juu wana dump kwetu huku, utakuta huo mtumba hauna wakala hapa wala hauna kutegenezeka. Na hata ukitengenezeka unakuwa "out dated" kompuuta ni dynamic. Wapelekee watu ulaji.

Nnakuambia hivyo kwa kuwa yashanikuta na usifikiri nakudhihaki. Nakuomba soma hizi links, labda utanielewa:

Life of a PC laptop - CNET Miscellaneous laptop discussions Forums

What is the Average life of an Average Desktop computer? - CNET Desktops Forums
 
@ff - hata kama ni kutupa ni lazima ukumbuke hiyo ni desktop hivyo iko separated kati ya cpu na monitor. Ni vyema akajua tatizo upande lilipo na kama ni desktop tambua parts zake zinaweza kubadilishika na zipo madukani.. Pia tambua na hali ya kifedha ya watanzania bado ipo chini kwa hiyo swala la kutupa haliwezekani kwa jamii yote
 
ha ha ha....Pole mkuu...odoa hofu hiyo PC iko vizuri sana bado. hiyo nadhani tatizo ni resolution iko juu sana na monitor haiwezi kuhimili hizo pixels, unaweza kufanya yafuatayo.
1. zima hiyo computer washa kwenye safe mode, by pressing F8 ikiwa kwenye post screen, pindi tuu unapoiwasha, baada ya hapo unaweza kubadilisha screen resolution AU
2. Tafuta display ingine jaribu kuifunga hapo uone kama itawaka vizuri
 
Watanzania wanajulikana kwa kuweka makorokoro. Hivi vitu vina life span, ikifika, inakuwa ni hasara kujaribu kuvitengeneza ndio maana walioviunda huko juu wana dump kwetu huku, utakuta huo mtumba hauna wakala hapa wala hauna kutegenezeka. Na hata ukitengenezeka unakuwa "out dated" kompuuta ni dynamic. Wapelekee watu ulaji.

Nnakuambia hivyo kwa kuwa yashanikuta na usifikiri nakudhihaki. Nakuomba soma hizi links, labda utanielewa:

Life of a PC laptop - CNET Miscellaneous laptop discussions Forums

What is the Average life of an Average Desktop computer? - CNET Desktops Forums

Bado hatujafikia hatu ya wenzetu, ndo mana nikakwambia siitupi isipokuwa ntaitundika shamba ili nifanye mzinga. Nyuki wakiingia ntarina asali mama, kuliko kutupa jalalani.
 
Bado hatujafikia hatu ya wenzetu, ndo mana nikakwambia siitupi isipokuwa ntaitundika shamba ili nifanye mzinga. Nyuki wakiingia ntarina asali mama, kuliko kutupa jalalani.

sasa mkuu badala utoe feedback ulipofikia we unabaki kubishana tu?
 
......................
Mimi ningepiga marufuku uagizaji wa magari na vifaa vyote vilivyotumika zaidi ya miaka 3. Kompyuta mwaka mmoja tu ingekuwa marufuku kuingizwa kwa kuuza.

FF nio hapo sasa vigezo vyako vya upigamaruku vinaonekana ni vya kisiasa. gari inaweza kutumika kwa miaka mitatu ikawa Mileage 20,000. Gari nyingine ikatumika mwaka mmoja ikawa na Mileage 80,000.
Ndio Maana jibu lako la kutupa sio zuri sababu hujamuuliza muhusika kompyuta yake ni model gani. ili japo ujue ni ya mwaka gani. Na hata kama kama ingekuwa ina zaidi ya miaka mitano bado kutupa sio suluisho kwnaza mpaka bila kujiridhsiah nini imeharibika.

Unawezeza kusema kutupa kumbe inafaa kutolewa msaada kwenye chuo au college. So jibu la kutupa sio ptin ya kwanza kama unavyofanya wewe kwenye comment zangu sometime kwenye huu ukumbi

Yaani comment na ushauri wako ni sawa na dakatari anakuja mgojnwa anakumbia kichwa kinamuuma . Theunamuandikia Dozi ya ARV za HIV bila kuchukua vipimo........lol
 
FF nio hapo sasa vigezo vyako vya upigamaruku vinaonekana ni vya kisiasa. gari inaweza kutumika kwa miaka mitatu ikawa Mileage 20,000. Gari nyingine ikatumika mwaka mmoja ikawa na Mileage 80,000.
Ndio Maana jibu lako la kutupa sio zuri sababu hujamuuliza muhusika kompyuta yake ni model gani. ili japo ujue ni ya mwaka gani. Na hata kama kama ingekuwa ina zaidi ya miaka mitano bado kutupa sio suluisho kwnaza mpaka bila kujiridhsiah nini imeharibika.

Unawezeza kusema kutupa kumbe inafaa kutolewa msaada kwenye chuo au college. So jibu la kutupa sio ptin ya kwanza kama unavyofanya wewe kwenye comment zangu sometime kwenye huu ukumbi

Yaani comment na ushauri wako ni sawa na dakatari anakuja mgojnwa anakumbia kichwa kinamuuma . Theunamuandikia Dozi ya ARV za HIV bila kuchukua vipimo........lol

Lazima uwe na threshold, na threshold inayotumika kwa sasa kulipia ushuru wa magari ni uchakavu wake wa miaka na si wa kilomita ngapi. Hata wahasibu hutumia kigezo hicho.

Huyo ataefanya hivyo si daktari, wala si mganga wa jadi. Nikisema huwa sikisii. Hiyo inatokana na vigezo vya sasa, hata gari ikiwa na kilomita 200 lakini ikiwa imevuka miaka 10 basi unalipia ushuru wa uchakavu. Mimi ushuru wa uchakavu usingekuwepo na mwisho kuiingiza ni miaka mitatu na exception ingekuwa kwenye antiques tu.

Tena nataka nimuandikie kwa kirefu Mkulo aone ni vipi haya magari chakavu yanavyotutia hasara, mfano, Trucks za miaka 10 mpaka 20 nyuma ambazo ndio nyingi zilizopo barabarani, zinaletwa kama mitumba, zinatumia mafuta 10% - 40% zaidi ya trucks ambazo zinatengenezwa mwaka huu. Piga hesabu ya kutumia miaka 10 na gharama za spare na gharama za break down utakuta tunatumia zaidi kuya maintain magari chakavu kuliko mapya.
 
unakumbuka ni lini ulimuazima huyo rafiki yako kompyuta? i mean tarehe au muda?
kama unakumbuka unaweza kufanya system restore---function ambayo inafuta mabadiliko (ina-reverse/rewind-undo) yaliyofanywa na rafiki yako. kwa hiyo kumbuka mara ya mwisho tarehe na au muda kabla hujampa rafiki yako kompyuta, then reverse mabadiliko hayo kwenye komputa yako hadi tarehe ambayo bado kompyuta ilikuwa mikononi mwako...kama hukumbuki, unaweza ku restore hadi siku moja kabla ya ile uliyopeana. sijui hiyo ni dell ya aina gani au unatumia OS gani ila fuata maelekezo hapa.

Click Start-----Accessories-----System tools-----system restore

Welcome to system restore----------------Restore to an earlier time------next------choose restoration point (siku kabala ya kuazimisha kompyuta)....kurudisha kompyuta katika hali ya awali

link: How to restore Windows XP to a previous state
 
unakumbuka ni lini ulimuazima huyo rafiki yako kompyuta? i mean tarehe au muda?
kama unakumbuka unaweza kufanya system restore---function ambayo inafuta mabadiliko (ina-reverse/rewind-undo) yaliyofanywa na rafiki yako. kwa hiyo kumbuka mara ya mwisho tarehe na au muda kabla hujampa rafiki yako kompyuta, then reverse mabadiliko hayo kwenye komputa yako hadi tarehe ambayo bado kompyuta ilikuwa mikononi mwako...kama hukumbuki, unaweza ku restore hadi siku moja kabla ya ile uliyopeana. sijui hiyo ni dell ya aina gani au unatumia OS gani ila fuata maelekezo hapa.

Click Start-----Accessories-----System tools-----system restore

Welcome to system restore----------------Restore to an earlier time------next------choose restoration point (siku kabala ya kuazimisha kompyuta)....kurudisha kompyuta katika hali ya awali

link: How to restore Windows XP to a previous state

Hapana, sikumuazima mtu. Niliizima tu kawaida kisha sikuitumia tena kwa miezi mitatu sasa. Jana jioni nilipoiwasha ndo ikaleta matokeo hayo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom