Lakini ni kazi kuwa conlusive kutambua hasa nini tatizo bila wewe kusema model na brand ya hiyo kompyuta.
Je aliyekutumia aliitest?
or do this ukiwasha bonyeza f2 au f12 ili uende kwenye BIOS uone kama Hard disk ipo detected. Otherwise taja model na brand ili wataalam wakumbie hasa nini cha kufanya zaidi ya hapo itakuwa ni kubahatisha bahatisha
hakikisha hakuna cd,floppy or flashdisk inserted. then kama itaendelea basi go to bios settings na hakikisha hdd imekuwa configured ikiwa inaonekana na haboot bado basi change boot priority na uweke OS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.