Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Issue imekuwa complicated as only interns na muhimbili dr walio chini ya wizara ya afya the rest mikoani wapo chini ya halmashauri ambayo ni tamisemi so mgomo unity ni ndogo. Hawa madokta wako chini ya madiwani.
Muhimbili mgomo upo na Polisi wanazunguka Kama hawana Akili. Kuna FFU pia. Pinda si kiongozi ni msanii asingepoteza uwaziri mkuu Leo tungepiga Naye stories
Muhimbili mgomo upo na Polisi wanazunguka Kama hawana Akili. Kuna FFU pia. Pinda si kiongozi ni msanii asingepoteza uwaziri mkuu Leo tungepiga Naye stories