Siajapata jibu halisi kwa nini akili zetu kwa kiasi kikubwaa zifanane sana katika kufikirii..
wafanyabiashara wetu bado hawajaweza kupata patners kutoka nje mpaka Raisi azungukee nao??? TCCIA hivi ina uwezo gani katika kuunganisha wafanyabishara, kusadiaa kukua kwa sekta ya biashara na kutoa dira ya kibiasharaa nchini???
kuhusu maono ya kimaendeleo kati Mwalimu na wote waliomfuatia bado kuna mapungufuu lakini Mwalimu naye hakuwa na msingi imara wa kuifanya nchi ijitegemee hata kiuchumii kama alivyokuwa anahubiriii na kuaminii..Kiuchumii Mwalimu alishindwa ndio maana wote waliomfuatiaa wakaja na style zao.
Kama Taifa tunahitaji Dira ya pamoja ya Maendeleooo..Na hii itawezekana tuu kwa kuleta mabadilko ya kijamii, kisiasa na kifikraa na baadaye mabadilikoo ya kiuchumi.
wafanyabiashara wetu bado hawajaweza kupata patners kutoka nje mpaka Raisi azungukee nao??? TCCIA hivi ina uwezo gani katika kuunganisha wafanyabishara, kusadiaa kukua kwa sekta ya biashara na kutoa dira ya kibiasharaa nchini???
kuhusu maono ya kimaendeleo kati Mwalimu na wote waliomfuatia bado kuna mapungufuu lakini Mwalimu naye hakuwa na msingi imara wa kuifanya nchi ijitegemee hata kiuchumii kama alivyokuwa anahubiriii na kuaminii..Kiuchumii Mwalimu alishindwa ndio maana wote waliomfuatiaa wakaja na style zao.
Kama Taifa tunahitaji Dira ya pamoja ya Maendeleooo..Na hii itawezekana tuu kwa kuleta mabadilko ya kijamii, kisiasa na kifikraa na baadaye mabadilikoo ya kiuchumi.