Competing Visions of Development: JK vs JKN

Siajapata jibu halisi kwa nini akili zetu kwa kiasi kikubwaa zifanane sana katika kufikirii..

wafanyabiashara wetu bado hawajaweza kupata patners kutoka nje mpaka Raisi azungukee nao??? TCCIA hivi ina uwezo gani katika kuunganisha wafanyabishara, kusadiaa kukua kwa sekta ya biashara na kutoa dira ya kibiasharaa nchini???

kuhusu maono ya kimaendeleo kati Mwalimu na wote waliomfuatia bado kuna mapungufuu lakini Mwalimu naye hakuwa na msingi imara wa kuifanya nchi ijitegemee hata kiuchumii kama alivyokuwa anahubiriii na kuaminii..Kiuchumii Mwalimu alishindwa ndio maana wote waliomfuatiaa wakaja na style zao.

Kama Taifa tunahitaji Dira ya pamoja ya Maendeleooo..Na hii itawezekana tuu kwa kuleta mabadilko ya kijamii, kisiasa na kifikraa na baadaye mabadilikoo ya kiuchumi.
 
but here lies somewhat the fallacy of the question posed: are the two visions really competing with each other?
With me I don't think so...one was a great thinker and the other one is just there to fulfil his dreams that in the history of that poor country, I was once the top most guy. He does not care whether he delivers or not!
 
Safi MKJJ,

Nakumbuka Nyerere akisafiri kwenda nchi za ughaibuni na akirudi anataka kile alichokiona na kinawezekana kufanyika hapa kifanyike kwa maaendeleo ya Nchi hii i mean vile viwanda kama vya sido,Mutex etc.

Kikwete na wenzake wameendeleza nini chakusema jamani,na kuboresha wameboresha nini barabara za Dar?? au?

JK amezidi kuwa mtanashati na kuvalia suti za bei mbaya kulinganisha na awali. Wengine kama kina Pinda wamejifuza kutovaa suti, huenda wanaandaa mikakati ya kurejea kwenye vitenge. Pia KinaPinda wanaandaa mikakati ya kutumia magari yanayounganishwa na kiwanda chetu cha nyumbu badala ya Ma-VX kutoka Japan. Kufikia malengo yao bado wanasema "tuwape muda"
 
There were no differences in such when it comes to version between JMK and JKN since they both save the same party with the same versions of development, same manifesto and almost same ideas...

However, there are differences in approach from time to time, during mwalimu focus was unity and ujamaa, were for 23 years they fail, almost total economic collapse though it was hard to admit..thereafter reforms follows enginered by Ally Mwinyi

JK and Mkapa wanaimba wimbo wa wafanyabiashara duniani, kwamba investors is the solution...all these are illusions in a very near future..
 
“We’ll be waiting in Tanzania for businessmen who want to benefit from the quota and customs-free trade opportunities my country offers with both the United States and the European Union” - JK

“We’re going to meet with both the president and the prime minister, and we’re going to sign around four or five agreements. I think that during my visit our relations will see some serious development. And I’m very much looking forward to seeing İstanbul” - JK

“Tanzania is strong in the mining sector. We have gold, cobalt, iron... We have every mineral that exists on earth. Tanzania has every kind of mine, and there are plenty of them. Uranium, gold, diamond, coal, nickel... Everything is here. Mining is an area in which there really is great opportunity” - JK

“I know Turkey is strong in the textile industry. We produce a lot of cotton, for example, but it needs to be processed. Turkish businesspeople can come and invest in the textile sector here, producing all sorts of textiles. All they need to do is come and prepare products for sale” - JK

“We have plenty of raw materials, agricultural raw materials...These are among the other areas Turks may be interested in investing in. You can conduct any kind of agriculture in Tanzania. We have the asset of 46 million of hectares of agricultural area, but only 5 million hectares are being utilized now. … If we could get at least another 5 million hectares in use, [this would be a major opportunity]” - JK

“There are big opportunities in the tourism sector. We have great parks and beaches here -- what is required is more hotels and more operating businesses” - JK

Source: http://pambazuka.org/en/category/africa_china/62356

Jakaya anauza nchi bila kujua!! Anahitaji some supernatural intervention ili awe na uwezo wa kuongoza nchi!! Ni matusi makubwa kumlinganisha na Mwalimu!!
 
“We’ll be waiting in Tanzania for businessmen who want to benefit from the quota and customs-free trade opportunities my country offers with both the United States and the European Union” - JK

“We’re going to meet with both the president and the prime minister, and we’re going to sign around four or five agreements. I think that during my visit our relations will see some serious development. And I’m very much looking forward to seeing İstanbul” - JK

“Tanzania is strong in the mining sector. We have gold, cobalt, iron... We have every mineral that exists on earth. Tanzania has every kind of mine, and there are plenty of them. Uranium, gold, diamond, coal, nickel... Everything is here. Mining is an area in which there really is great opportunity” - JK

“I know Turkey is strong in the textile industry. We produce a lot of cotton, for example, but it needs to be processed. Turkish businesspeople can come and invest in the textile sector here, producing all sorts of textiles. All they need to do is come and prepare products for sale” - JK

“We have plenty of raw materials, agricultural raw materials...These are among the other areas Turks may be interested in investing in. You can conduct any kind of agriculture in Tanzania. We have the asset of 46 million of hectares of agricultural area, but only 5 million hectares are being utilized now. … If we could get at least another 5 million hectares in use, [this would be a major opportunity]” - JK

“There are big opportunities in the tourism sector. We have great parks and beaches here -- what is required is more hotels and more operating businesses” - JK

Source: http://pambazuka.org/en/category/africa_china/62356

Imani ya kuwa tegemezi inafanya kauli zake ziwe kama ndoto za mchana. Kulinganisha vision ya JK na Mwl. JKN ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu.

Enzi za mwalimu nchi ilikua na programme zinazoonyesha ni wapi tunaelekea, Azimio la Arusha; Operation vijiji, (hata kama vilifeli), Elimu kwa wote, eg UPE, nk vilikua vinatoa agenda ya taifa kwa wakati huo.
 
[FONT=times new roman, new york, times, serif]"Our local businessmen cannot reach other executive areas on their own without the President’s presence. During my visit to the US, we had a luncheon with NASDAQ officials, who later held talks with Tanzanian businesspersons. Under normal circumstances, the NASDAQ president, whose stock exchange volume stands at USD7.1 trillion, cannot meet a person of the stature of TCCIA president Elvis Musiba. But because I was there, the NASDAQ president personally attended that event...When I visited Tiffany, a big jewelers company turning out billions of dollars, its officials were in some other place and had to be summoned to meet Tanzanian [T]anzanite dealers...This is how they could meet; because I was there otherwise it would have been difficult for local Tanzanite dealers to meet their US counterparts... [/FONT][FONT=times new roman, new york, times, serif]It is after I had talks with the NASDAQ president that we now have the US Tanzania Business Association where businessmen from the two countries can meet. I visited New York Stock Exchange, whose business volume is USD22.8 trillion, where we were given the honour to open the day’s business. It is because I was there on that day that we were given that honour...Do you think Jonathan Njau [Head of Dar es Salaam Stock Exchange] can meet those guys up there on his own? (laughter). People should not just simplify these things” - President Jakaya Kikwete quoted by The Guardian in December 2006 [/FONT]

So he feel proud to meet great people but what do we get as a nation? mikutano yote hiyo taifa limepata nini? Tunahitaji nini kwenye Newyork stock exchange? Kama sio ushamba ni nini!!!

Haoni kama kuna mambo ya msingi zaidi ya kushughulikia badala ya kupoteza muda na fetha kuwapigia debe wafanyabiashara ma-mision town. JK hana habari kuwa wafanyabiashara makini tayari wana connection na relevant counter parts kutoka US, UK China na kote duniani na wala hawahitaji uwepo wa president!!
 
LOL!

I am tired of reading his exploration routes.

Yaani akina January Makamba ndio wana post hizi safari zake kama quotes??

Quotes are due to your own theories, beliefs and principles, in short quotes show that who you are. Jk hana anachokiamini wala hatujui anaamini nini.

akina Kikwete ndio wanatuletea quotes kama hizi

''Last night I lay in bed looking up at the stars in the sky and thought to myself, where the heck is the ceiling''

au

"One of the greatest things about books is sometimes there are some fantastic pictures''-George W Bush

Mkuu si unaweza kujua 'beliefs' na 'principles' za kiongozi mkuu wa nchi hata kwa kusoma machapisho yake binafsi (achilia mbali hotuba maana nyingi huandaliwa)? Kama hayapo au hayawafikii walengwa inakuwa vigumu kujua 'vision' hata 'beliefs' za mkulu huyo. Pamoja na kuwa Nyerere ni mwanafalsafa alikuwa anazungumza mambo yenye uhalisia.
 
Tanzania will always be an experiment. During Nyerere's time it was socialism, whilst during Kikwete's era it is uncontrolled/unregulated Foreign Direct Investments.
 
Tanzania will always be an experiment. During Nyerere's time it was socialism, whilst during Kikwete's era it is uncontrolled/unregulated Foreign Direct Investments.

Jamaa mmoja alihoji, na nakubaliana naye, mtasemaje yalikuwa majaribio ilhali ilikuwa ndio mfumo wetu wa maisha - How can you say our way of life was an experiment?
 
Back
Top Bottom