Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Wa kwetu akitembelea miradi yake huko Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani!
Wa wenzetu akiwajengea watu wake nje kidogo ya Kigali!
Source: www.zanzibarnikwetu.blogspot.uk.co
Huyo anajenga au anapigwa picha akiwa ameshika mwiko na udongo,fundi muwashi hana hata tone la udongo huku tofali zimefika kozi karibu ya saba?,afadhali ya huyo anaye kagua mahindi yake kama yanafaa kuuzwa kwa wachomaji wa barabara za Mbezi Beach.Halafu ile Raba aliyovaa Babu yake Aziza mbona kama oversize?,mimi ndio saizi yangu na vaa size 12,akirudi mjini anitupie mimi,maana visit nyingine ya shambani sidhani kama ataitinga tena.