Compare and Contrast!

Rev unatoa link kutoka kwenye email yako nini? Picha hazionekani hapa.
 
Rev unatoa link kutoka kwenye email yako nini? Picha hazionekani hapa.

lol, kuna jamaa mmoja nakumbuka alikuwa anafanya hivyo hapa JF, halafu zisipoonekana analalama na kufuka moshi dhidi ya JF!! :)
 
Rev, pls try the following:

-- copy images to your local drive
-- create a folder/album on your JF profile account
-- upload image to JF image folder you created
-- then get image link from folder.
Method has worked for me before. Pls give it a go.
 
Rev,

Hizo images hazisemi lolote, na zaidi ya yote, unaweza kutumia images kumuonyesha Stalin kama mtakatifu na mama Theresa kuwa muuaji wa halaiki.

Kama unataka fluff utapata hapa, lakini serious introspection haiwezi kutokana na hizi images, you should know better.
 
Rev,

Hizo images hazisemi lolote, na zaidi ya yote, unaweza kutumia images kumuonyesha Stalin kama mtakatifu na mama Theresa kuwa muuaji wa halaiki.

Kama unataka fluff utapata hapa, lakini serious introspection haiwezi kutokana na hizi images, you should know better.

Kiranga,

Ukiangalia hizo picha, mmoja anaogopa kuchafuka, mwingine haoni shida kuchafuka.. au mmoja anaogopa kazi na kutoka jasho huku mwinine haogopi kulowesha shati kwa jasho au kulamba vumbi. there goes the message
 
Kweli kuna tofauti kubwa sana kati ya mwalimu na JK. Mmoja anafanya kazi, mwingine anaigiza. Tofauti iliyoje!!
 
Kiranga,

Ukiangalia hizo picha, mmoja anaogopa kuchafuka, mwingine haoni shida kuchafuka.. au mmoja anaogopa kazi na kutoka jasho huku mwinine haogopi kulowesha shati kwa jasho au kulamba vumbi. there goes the message

Kuna image za Kikwete pia akiingia kwenye mtaro/ kimto jimboni kwake kakunja suruali viatu kashika mkononi, ilikuwapo Michuzi. My point ni kwamba mtu anaweza kuchagua picha yoyote itakayotoa message anayotaka kuisema.

Na wengine watasema hapo swala si kwamba Nyerere hakuogopa kuchafuka, swala ni kwamba ametaka kuchafuka kirahisi wakati alternative ya kutochafuka ipo, kwamba Nyerere hakufanya kazi smarter, alikuwa anatumia efforts bila smarts, Kikwete anafanya kazi smarter.

Sema unachotaka kusema, lakini kutumia picha hizi ni mental masturbation itakayoleta brain farts tu hapa.

Na simpletons wa kushabikia fluff na propaganda prone imagery huwezi kuwakosa hapa. Lakini wengine tunakataa kuuziwa falsafa nzima ya mtu fulani kwa picha chache zilizochaguliwa vizuri ku fit narrative fulani.
 
Na wengine watasema hapo swala si kwamba Nyerere hakuogopa kuchafuka, swala ni kwamba ametaka kuchafuka kirahisi wakati alternative ya kutochafuka ipo, kwamba Nyerere hakufanya kazi smarter, alikuwa anatumia efforts bila smarts, Kikwete anafanya kazi smarter.
.


Na matokeo ya Smartness ni....
 
Na matokeo ya Smartness ni....

Ukifikiri nasema Kikwete ni smart unakosea, naonyesha ni jinsi gani hizi habari za propaganda ya mapicha zinaweza kuenguliwa kirahisi. One only has to take a picture of Nyerere in a very posh atmosphere and Kikwete slugging it out with wananchi to make a counterclaim. Ridiculously simplistic.

Kama unataka kum judge Kikwete kutokana na matokeo ya kazi yake, that is quite another matter, na unaweza kuwa objective ukachagua macroeconomic initiatives na social services stagnation ukam murder machete Kikwete vizuri sana, hata Nyerere naye.

Lakini habari za kutaka tufanye comparison na ku contrast watu wamekuwa marais nchi ya mamilioni ya watu, mmoja kwa milongo mwingine kwa miaka mitano, kwa kutumia picha kadhaa, ni mchezo wa kitoto.

Ndiyo maana nikasema sema unachotaka kusema, hii habari za ku cherry pick picha fulani mimi naiona ni propaganda mbaya zaidi kuliko kitu cha ukweli.

The whole thing is so simple to make any sense to any thinking person.
 
Ukifikiri nasema Kikwete ni smart unakosea, naonyesha ni jinsi gani hizi habari za propaganda ya mapicha zinaweza kuenguliwa kirahisi. One only has to take a picture of Nyerere in a very posh atmosphere and Kikwete slugging it out with wananchi to make a counterclaim. Ridiculously simplistic.

Kama unataka kum judge Kikwete kutokana na matokeo ya kazi yake, that is quite another matter, na unaweza kuwa objective ukachagua macroeconomic initiatives na social services stagnation ukam murder machete Kikwete vizuri sana, hata Nyerere naye.

Lakini habari za kutaka tufanye comparison na ku contrast watu wamekuwa marais nchi ya mamilioni ya watu, mmoja kwa milongo mwingine kwa miaka mitano, kwa kutumia picha kadhaa, ni mchezo wa kitoto.

Ndiyo maana nikasema sema unachotaka kusema, hii habari za ku cherry pick picha fulani mimi naiona ni propaganda mbaya zaidi kuliko kitu cha ukweli.

The whole thing is so simple to make any sense to any thinking person.

Wewe ni bingwa wa fasihi, so the idea of presenting the pictures and ask for comparing and contrasting is not confined to the kuchafuka kwa kushika jembe. Sasa I would have hope kuwa wewe Esopo wetu ungeangalia kwenye lile nilolosema woga wa kuchafuka na si kusema smarter stuff.

By stating ouga wa kazi au kuchafuka na kutumia picha hiyom could ean athousand things to paint Kikwete as weak president ambaye anaogopa kufanya kazi, anaogopa kukwaruzana kila kitu ni kukwepa wajibu, is that smart?

Hivyo sikutuma picha kwa ajili ya cheap politics au fluff as you state, youu know better than that comrade!
 
Mzee alikuwa mjenga nchi bwana achaneni na huyu mkwere tulonaye kwasasa!

Watanzania na Nyerere ni kama mtu na kipenzi chake cha kwanza, au mwanamke na mpenzi wake aliyembikiri.

Kuna nostalgic effect fulani itakayotufanya wengi wetu - ambao kwa wingi tulikuwa wadogo sana enzi za Nyerere- tumuone Nyerere kama nabii.

Ila ukweli ni kwamba angalau Nyerere alikuwa a bonafide intellectual aliyeweza kusimama na kujibizana na kina Thatcher na Reagan. Hata Mkapa anaeleweka kimataifa. Kikwete ni midget. Hata ku chat na Obama anahitaji notes. Pengine ni ubovu wa kung'ang'ania urais wakati mtu mgonjwa.

At the end of the day, baada ya ma giant, milima Kilimanjaro, vichuguu na ma midget, nchi yetu masikini ajabu.

In short wote wame fail.

Nyerere angeelimisha watu vya kutosha mtu asiyeelimika kama Kikwete asingeweza kuwa rais, kwa hiyo kwa aina moja au nyingie kushindwa kazi kwa Kikwete kunaendana na kushindwa kazi kwa Nyerere na wala huwezi kuvitenganisha hivi viwili.
 
Wewe ni bingwa wa fasihi, so the idea of presenting the pictures and ask for comparing and contrasting is not confined to the kuchafuka kwa kushika jembe. Sasa I would have hope kuwa wewe Esopo wetu ungeangalia kwenye lile nilolosema woga wa kuchafuka na si kusema smarter stuff.

By stating ouga wa kazi au kuchafuka na kutumia picha hiyom could ean athousand things to paint Kikwete as weak president ambaye anaogopa kufanya kazi, anaogopa kukwaruzana kila kitu ni kukwepa wajibu, is that smart?

Hivyo sikutuma picha kwa ajili ya cheap politics au fluff as you state, youu know better than that comrade!

Call a spade a spade, don't bring us a picture of a spoon and expect us to see a spade. You will not only be ruining your credibility, but also you will be shortchanging and ridiculing your own positions.
 
Watanzania na Nyerere ni kama mtu na kipenzi chake cha kwanza, au mwanamke na mpenzi wake aliyembikiri.

Kuna nostalgic effect fulani itakayotufanya wengi wetu - ambao kwa wingi tulikuwa wadogo sana enzi za Nyerere- tumuone Nyerere kama nabii.

Ila ukweli ni kwamba angalau Nyerere alikuwa a bonafide intellectual aliyeweza kusimama na kujibizana na kina Thatcher na Reagan. Hata Mkapa anaeleweka kimataifa. Kikwete ni midget. Hata ku chat na Obama anahitaji notes. Pengine ni ubovu wa kung'ang'ania urais wakati mtu mgonjwa.

At the end of the day, baada ya ma giant, milima Kilimanjaro, vichuguu na ma midget, nchi yetu masikini ajabu.

In short wote wame fail.

Nyerere angeelimisha watu vya kutosha mtu asiyeelimika kama Kikwete asingeweza kuwa rais, kwa hiyo kwa aina moja au nyingie kushindwa kazi kwa Kikwete kunaendana na kushindwa kazi kwa Nyerere na wala huwezi kuvitenganisha hivi viwili.

Excellent insight. I share the same opinion... allowing people like JK to reach the top echelon reflects poorly on the party's existing checks and balances ....
 
Rev,

Hizo images hazisemi lolote, na zaidi ya yote, unaweza kutumia images kumuonyesha Stalin kama mtakatifu na mama Theresa kuwa muuaji wa halaiki.

Kama unataka fluff utapata hapa, lakini serious introspection haiwezi kutokana na hizi images, you should know better.
Nafikiri unakwenda mbali zaidi,hizo slides mbali mbali zimepigwa wakati tofauti na watu tofauti.Zikionyesha viongozi wakuu wawili katika shughuli za kujenga taifa letu la Tanzania kwa muda tofauti.Unapoziangalia halafu ukatoa conclusion kwamba ni cheap politics sikuelewi, inaonekana umekariri jibu lakini njia za kufanya swali ni shida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom