Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Rev unatoa link kutoka kwenye email yako nini? Picha hazionekani hapa.
Rev,
Hizo images hazisemi lolote, na zaidi ya yote, unaweza kutumia images kumuonyesha Stalin kama mtakatifu na mama Theresa kuwa muuaji wa halaiki.
Kama unataka fluff utapata hapa, lakini serious introspection haiwezi kutokana na hizi images, you should know better.
Kiranga,
Ukiangalia hizo picha, mmoja anaogopa kuchafuka, mwingine haoni shida kuchafuka.. au mmoja anaogopa kazi na kutoka jasho huku mwinine haogopi kulowesha shati kwa jasho au kulamba vumbi. there goes the message
Na wengine watasema hapo swala si kwamba Nyerere hakuogopa kuchafuka, swala ni kwamba ametaka kuchafuka kirahisi wakati alternative ya kutochafuka ipo, kwamba Nyerere hakufanya kazi smarter, alikuwa anatumia efforts bila smarts, Kikwete anafanya kazi smarter.
.
Na matokeo ya Smartness ni....
Ukifikiri nasema Kikwete ni smart unakosea, naonyesha ni jinsi gani hizi habari za propaganda ya mapicha zinaweza kuenguliwa kirahisi. One only has to take a picture of Nyerere in a very posh atmosphere and Kikwete slugging it out with wananchi to make a counterclaim. Ridiculously simplistic.
Kama unataka kum judge Kikwete kutokana na matokeo ya kazi yake, that is quite another matter, na unaweza kuwa objective ukachagua macroeconomic initiatives na social services stagnation ukam murder machete Kikwete vizuri sana, hata Nyerere naye.
Lakini habari za kutaka tufanye comparison na ku contrast watu wamekuwa marais nchi ya mamilioni ya watu, mmoja kwa milongo mwingine kwa miaka mitano, kwa kutumia picha kadhaa, ni mchezo wa kitoto.
Ndiyo maana nikasema sema unachotaka kusema, hii habari za ku cherry pick picha fulani mimi naiona ni propaganda mbaya zaidi kuliko kitu cha ukweli.
The whole thing is so simple to make any sense to any thinking person.
Mzee alikuwa mjenga nchi bwana achaneni na huyu mkwere tulonaye kwasasa!
Wewe ni bingwa wa fasihi, so the idea of presenting the pictures and ask for comparing and contrasting is not confined to the kuchafuka kwa kushika jembe. Sasa I would have hope kuwa wewe Esopo wetu ungeangalia kwenye lile nilolosema woga wa kuchafuka na si kusema smarter stuff.
By stating ouga wa kazi au kuchafuka na kutumia picha hiyom could ean athousand things to paint Kikwete as weak president ambaye anaogopa kufanya kazi, anaogopa kukwaruzana kila kitu ni kukwepa wajibu, is that smart?
Hivyo sikutuma picha kwa ajili ya cheap politics au fluff as you state, youu know better than that comrade!
Watanzania na Nyerere ni kama mtu na kipenzi chake cha kwanza, au mwanamke na mpenzi wake aliyembikiri.
Kuna nostalgic effect fulani itakayotufanya wengi wetu - ambao kwa wingi tulikuwa wadogo sana enzi za Nyerere- tumuone Nyerere kama nabii.
Ila ukweli ni kwamba angalau Nyerere alikuwa a bonafide intellectual aliyeweza kusimama na kujibizana na kina Thatcher na Reagan. Hata Mkapa anaeleweka kimataifa. Kikwete ni midget. Hata ku chat na Obama anahitaji notes. Pengine ni ubovu wa kung'ang'ania urais wakati mtu mgonjwa.
At the end of the day, baada ya ma giant, milima Kilimanjaro, vichuguu na ma midget, nchi yetu masikini ajabu.
In short wote wame fail.
Nyerere angeelimisha watu vya kutosha mtu asiyeelimika kama Kikwete asingeweza kuwa rais, kwa hiyo kwa aina moja au nyingie kushindwa kazi kwa Kikwete kunaendana na kushindwa kazi kwa Nyerere na wala huwezi kuvitenganisha hivi viwili.
Nafikiri unakwenda mbali zaidi,hizo slides mbali mbali zimepigwa wakati tofauti na watu tofauti.Zikionyesha viongozi wakuu wawili katika shughuli za kujenga taifa letu la Tanzania kwa muda tofauti.Unapoziangalia halafu ukatoa conclusion kwamba ni cheap politics sikuelewi, inaonekana umekariri jibu lakini njia za kufanya swali ni shida.Rev,
Hizo images hazisemi lolote, na zaidi ya yote, unaweza kutumia images kumuonyesha Stalin kama mtakatifu na mama Theresa kuwa muuaji wa halaiki.
Kama unataka fluff utapata hapa, lakini serious introspection haiwezi kutokana na hizi images, you should know better.