MKUU nijuavyo kuna watu kwenye makabati yao ya nguo utakuta aina moja tu (colour/design) na kila wakivaa unagundua ni shati/suruali/kiatu kile kile. Haina maana kuwa anavaa nguo ile ile but ni mfumo, rangi ile ile. Yumkini hata mhusika anazo nguo nyingi but amependa hiyo rangi. Binafsi navaaga suruali nyeusi/blue ilokolezwa na shati za mistari myeusi na myeupe -mikono mirefu au mashati meupe. Hizo ndo nguo zangu piga huasasa swali ni je pamba zimeisha madukani??
MKUU nijuavyo kuna watu kwenye makabati yao ya nguo utakuta aina moja tu (colour/design) na kila wakivaa unagundua ni shati/suruali/kiatu kile kile. Haina maana kuwa anavaa nguo ile ile but ni mfumo, rangi ile ile. Yumkini hata mhusika anazo nguo nyingi but amependa hiyo rangi. Binafsi navaaga suruali nyeusi/blue ilokolezwa na shati za mistari myeusi na myeupe -mikono mirefu au mashati meupe. Hizo ndo nguo zangu piga hua