Comoro yatamani Muungano na Tanzania

PM

Muungano umesaidia kuweka vile visiwa pamoja!

Sema akina Seif saa ingine hawataki to appreciate this!

Sasa Komoro tukiwa nao akina Seif watanyamaza tu.. maana sauti ya Upemba itapungua

kina seif wajanja ...wamajuwa siku muungano ukivunjika ..ndio siku ya kutawala zanzibar..,ukizingatia pemba ndio kwenye wasomi,na wahangaikaji....itakuwa rahisi kwao!!!

ambaye anaona bara ni kwa mafisadi na kuna maisha duni ni ruksa kwenda mchambawima...mara zote waunguja ni walalamishi na wasiokubali ukweli....mdomo siku zote umekuwa ukiwalisha!

hata comoro ina kipato kuliko zanzibar....$680 p/c,.....zanzibar wakitaka kujiendeleza kiuchumi wajifananishe na hali ya visiwa vingine kwenye mwambao huu......sasa kama wanataka kujilinganisha na MAFIA pia ni sawa,lakini mafia inainuka kwa kasi kesho tu na mafuta yapo.wao wameshaambiwa machoni kuwa wasahau mafuta.....!....pemba mafuta yapo[patamu hapo]...

mchawi wa zanzibar ni wao wenyewe na sera yao ya mapinduzi daima,inawaminya wapemba sana ,siku wakileta usawa pale basi wajuwe hata mambo yao yatakuwa mazuri!

mwaka 2005..walikubali nafasi ya urais muungano iwapokonye ..tu kwa sababu aliyekuwa na nafasi ya kupewa salim ana asili ya pemba ...zanzibar pale dodoma ndio walikuwa kikwazo kwetu kumpa SALIM urais!!!!.......kwa kupoteza nafasi ile sioni uwezekano wa rais wa muungano kutoka tena zanzibar...i dont see a reliable potential candidate among the high ranks.....
 
Ngekewa,

Kwani Waarabu sii binadamu?

Visiwani kuwa Waarabu, waafrika n.k mbona tumeungana tu!!

Mbona Amir Jamal alikuwa Mwarabu Bara na alipewa uwaziri? Dr. Bryeson

Mzungu nae alipata kuwa waziri wa Afya Bara wakati wa Nyerere!

Hakuna cha ubaguzi..ni fikra tu sizizo sahihi!

Komoro wao wameonyesha nia na kuomba kutaka kuungana nasi!

Je kuna ubaya?

Naye Salim tulimfanya nini? Tena nasikia huyu Bwana anaegemea kwa Iran, si kazi hiyo kwa Wabongo?
 

kina seif wajanja ...wamajuwa siku muungano ukivunjika ..ndio siku ya kutawala zanzibar..,ukizingatia pemba ndio kwenye wasomi,na wahangaikaji....itakuwa rahisi kwao!!!

ambaye anaona bara ni kwa mafisadi na kuna maisha duni ni ruksa kwenda mchambawima...mara zote waunguja ni walalamishi na wasiokubali ukweli....mdomo siku zote umekuwa ukiwalisha!

hata comoro ina kipato kuliko zanzibar....$680 p/c,.....zanzibar wakitaka kujiendeleza kiuchumi wajifananishe na hali ya visiwa vingine kwenye mwambao huu......sasa kama wanataka kujilinganisha na MAFIA pia ni sawa,lakini mafia inainuka kwa kasi kesho tu na mafuta yapo.wao wameshaambiwa machoni kuwa wasahau mafuta.....!....pemba mafuta yapo[patamu hapo]...

mchawi wa zanzibar ni wao wenyewe na sera yao ya mapinduzi daima,inawaminya wapemba sana ,siku wakileta usawa pale basi wajuwe hata mambo yao yatakuwa mazuri!

mwaka 2005..walikubali nafasi ya urais muungano iwapokonye ..tu kwa sababu aliyekuwa na nafasi ya kupewa salim ana asili ya pemba ...zanzibar pale dodoma ndio walikuwa kikwazo kwetu kumpa SALIM urais!!!!.......kwa kupoteza nafasi ile sioni uwezekano wa rais wa muungano kutoka tena zanzibar...i dont see a reliable potential candidate among the high ranks.....

- Strong analysis na ndio reality yenyewe.

Respect.

FMES!
 

kina seif wajanja ...wamajuwa siku muungano ukivunjika ..ndio siku ya kutawala zanzibar..,ukizingatia pemba ndio kwenye wasomi,na wahangaikaji....itakuwa rahisi kwao!!!

ambaye anaona bara ni kwa mafisadi na kuna maisha duni ni ruksa kwenda mchambawima...mara zote waunguja ni walalamishi na wasiokubali ukweli....mdomo siku zote umekuwa ukiwalisha!

hata comoro ina kipato kuliko zanzibar....$680 p/c,.....zanzibar wakitaka kujiendeleza kiuchumi wajifananishe na hali ya visiwa vingine kwenye mwambao huu......sasa kama wanataka kujilinganisha na MAFIA pia ni sawa,lakini mafia inainuka kwa kasi kesho tu na mafuta yapo.wao wameshaambiwa machoni kuwa wasahau mafuta.....!....pemba mafuta yapo[patamu hapo]...

mchawi wa zanzibar ni wao wenyewe na sera yao ya mapinduzi daima,inawaminya wapemba sana ,siku wakileta usawa pale basi wajuwe hata mambo yao yatakuwa mazuri!

mwaka 2005..walikubali nafasi ya urais muungano iwapokonye ..tu kwa sababu aliyekuwa na nafasi ya kupewa salim ana asili ya pemba ...zanzibar pale dodoma ndio walikuwa kikwazo kwetu kumpa SALIM urais!!!!.......kwa kupoteza nafasi ile sioni uwezekano wa rais wa muungano kutoka tena zanzibar...i dont see a reliable potential candidate among the high ranks.....

Mchawi wa Zanzibar ni financial corruption ya CCM kule Zanzibar. Bara kwa kutumia CCM iko tayari kumwaga damu na imeshafanya hivyo ili kuhakikisha kuwa wanaendelea kuvitawala visiwa hivyo.
Kama si kutumia dola Wazanzibari wangekwisha badilisha utawala na kuangalia wengine watafanya nini katika kuleta maendeleo.

Suala la kutokubali ukweli na ulalamishi liko kwa upande wa Bara zaidi kuliko visiwani. Chukulia mfano ukweli unajidhihirisha kuwa Wazanzibari wameshachoka na mfumo huu wa muungano lakini Bara hawataki kulikubali hilo.
Kuhusu ulalamishi iweje pato litokalo upande mmoja liwe halihusu upande mwengine wakati uleule kile cha yule aliekataliwa mgao kinakuwa cha jumla.

AMA KWELI HAMKUBALI UKWELI NA WALALAMISHI KIASI CHA KUGEUZA MAMBO.
 
Ngekewa,

Kweli ni Ngumu ikiwa watu 1 million wanaungana na watu 39 millions! Walio wachache wataona wanaonewa tu siku zote!
 
japokuwa haipo kwenye maandishi, lakini kwa wanaofahamu undani miaka nenda miaka rudi comoro ipo part ya tanzania na ndio maana chochote kitachotokea nchi ya kwanza kurespond itakuwa ni Tanzania,
na kuna hii ambayo sina uhakika nao sana lakini kuna kipindi hata mzee Brig mstahafu Hashimu Mbita alishawahi kuiongoza hiyo nchi kwa muda fulani wakati nyerere akiwa kwenye peak katika maswala ya ukombozi, wanaofahamu watatujuza zaidi
 
japokuwa haipo kwenye maandishi, lakini kwa wanaofahamu undani miaka nenda miaka rudi comoro ipo part ya tanzania na ndio maana chochote kitachotokea nchi ya kwanza kurespond itakuwa ni Tanzania,
na kuna hii ambayo sina uhakika nao sana lakini kuna kipindi hata mzee Brig mstahafu Hashimu Mbita alishawahi kuiongoza hiyo nchi kwa muda fulani wakati nyerere akiwa kwenye peak katika maswala ya ukombozi, wanaofahamu watatujuza zaidi

si mara ya kwanza Tanzania kwenda kutuliza mambo kwenye visiwa hivi...wanaojuwa wamekuelewa.hiyo ilikuwa mara baada ya vita uganda ...comoro ilitekwa na yule Mercenery lord[sasa marehemu]....na waliotumwa kwenda kukomboa na kampani iliyoongozwa na luteni generali IDDI GAHHU[enzi hizo akiwa lt.kanali]....na baada ya ukombozi alikaa pale kwa muda ..kwa niaba ya nyerere...

pia bila kusahau historia lazima mkumbuke kuwa tanzania pia illiitawala uganda kuanzia 1978 hadi 1983......kwani rais wa uganda [yusuf lule,god binaisa,na obote]...walikuwa wakiteuliwa na mwalimu.....na majeshi ya tanzania yalidhibiti polisi na jeshi la uganda ...walipoondoka wakamuachia obote11 ndipo akashindwa kudhibiti hali akapinduliwa na generali TITO okelllo[kutoka kaskazini].....ambaye alikuja kupinduliwa na maj generali yoweri kagutta museveni[ambaye kwa mara ya kwanza aliweza tena kudhibiti uganda tangu kuondoka kwa watanzania 1983 hadi leo]

Ndio maana tunasema nyerere was SUPER....angekuwa na uchu wa kutawala leo hii uganda ingeendelea kuongozwa kwa remote control na tanzania..na comoro wanajuwa kuwa wangekuwa himaya ya tanzania....alikuwa anasaidia alafu anaondoka......

zanzibar naona wamevimbiwa ......mtu akivimbiwa ni kawaida kukikufuru chakula......na waondoke...hata leo !!!....kama ni visiwa tunavyo...!!!
 
Tanzania na Comoro zimesaini mkataba wa ushirikiano katika sekta za kilimo, mawasiliano, uhamiaji, elimu, afya na biashara. Mkataba huo ulitiwa saini juzi mjini hapa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Ahmed Jaffar kwa niaba ya serikali yake. Kusainiwa kwa mkataba huo kulikoshuhudiwa na marais wa nchi hizo mbili ni hatua ya kwanza ya kuundwa kwa tume ya ushirikiano baina ya nchi hizo.

Akizungumza baada ya kutia saini mkataba huo, Waziri Jaffar alisema kutokana na kupitishwa kwa mkataba huo Comoro itanufaika katika nyanja hizo kuliko ilivyokuwa hapo awali. "Mkataba huu baina ya Tanzania na Comoro utarahisisha taratibu za matibabu kwa wananchi wa Comoro ambao kwa kiasi kikubwa wanapatiwa matibabu katika hospitali za Tanzania," alisema. Mkataba huo pia utatoa fursa kwa wafanyabiashara wa nchi hizo mbili kuendesha shughuli zao kwa urahisi na gharama nafuu kuliko ilivyo hivi sasa.

Hivi sasa gharama za viza kwa Watanzania wanaokwenda Comoro ni Euro 60 sawa na zaidi ya Sh 100,000 za Tanzania kwa siku 45 huku Wacomoro wanaotaka kuingia Tanzania wanalazimika kulipa Dola 50 za Marekani kwa viza ya miezi mitatu. Akijibu maswali ya waandishi wa habari baada ya kusainiwa kwa mkataba huo wa ushirikiano, Rais Ahmed Sambi wa Comoro alisema kusainiwa kwa mkataba huo kutaleta mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa katika visiwa hivyo na hatua inayotakiwa kuchukuliwa ni kuhakikisha umoja na amani vinadumishwa nchini Comoro.

Rais Sambi pia alielezea dhamira yake ya kuuomba Umoja wa Afrika (AU) kukirejesha kisiwa cha Mayote kinachokaliwa na Ufaransa, kwa kuwa hakuna nchi katika Afrika hivi inayotakiwa kuendelea kuwa koloni la nchi nyingine. Kwa upande wake, Rais Jakaya Kikwete alisema nia ya Serikali ya Tanzania ni kuendelea kushirikiana na Comoro katika makubaliano yaliyomo kwenye mkataba uliosainiwa baina ya nchi mbili hizo katika kukuza uchumi, uhamiaji, biashara, afya na elimu.

"Kusainiwa kwa mkataba huu kunamaanisha kuwa moja kwa moja tume ya kudumu ya ushirikiano imeshaundwa, tunachosubiri ni uzinduzi tu, hivyo vipaumbele vya nini kianze kuhusu tuliyokubaliana, yapo mikononi mwao wenyewe. Tunawaachia mawaziri hawa wawili (Membe na Jaffar) wazungumze," alisema Rais Kikwete. Rais Kikwete alirejea nyumbani jana jioni baada ya kumaliza ziara ya kiserikali ya siku tatu ambayo ilihusisha sherehe za mwaka mmoja tangu kukombolewa kwa Kisiwa cha Anjouan kutoka mikononi mwa muasi Kanali Mohamed Bacar.
Source:Habari leo
 
nimekumbuka jina la yule mercenery aliyekuwa akitusumbua comoro enzi za mwalimu ni BOB LERNARD[late].....ALikuwa na wapiganaji 100 tu...mara zote tulimkimbiza,
hata yule kanali mohamed bakari [ana asili ya tanznia] aliyekimbizwa juzi kafundishwa jeshi hapa.....kama walivopata kupita kina museveni,kagame,kabila,john gARANG
 
PM,

Hawa mecenaries si wale pia JW waliwatimua kule Ushesheli 1979??

Hivi Bob Benard ameshakufa? alikwa Mfaransa or South African
 
Nyumba ndogo inatusumbua, tunataka kuongeza nyingine!

Wazee tushughulikie kwanza umasikini wetu, haya mengine yaje baadaye.
 
Nyumba ndogo inatusumbua, tunataka kuongeza nyingine!

Wazee tushughulikie kwanza umasikini wetu, haya mengine yaje baadaye.

Kweli mkuu umenena maana kuongeza tatizo juu ya matatizo siyo fikra pevu kabisa!
 
wachukueni hawa halafu sisi tuachieni na zenji yetu

Hata hivyo mtaachika muda si mrefu na mtajajuta kwa huo uamuzi maana hata ng'ombe haoni umuhimu wa mkia wake ila ukiukata na inzi wakimng'ata ndo ataona umuhimu wake!
 
Sisi ndoa ye2 ni ya mke mmoja,hatuhitaji mke mwingine.Alichokiunganisha Mungu mwanadam asitenganishe
 
JF,

Raisi wa Comoro anatamani siku moja Kuwa na Muungano na Mainland kama ule wa Zanzibar! Pamoja na matatizo madogo2 Muungano na ndugu zetu wa visiwani kwa sasa je kuna haja ya Tanzania kufikiria jambo hili?

Faida Comoro watakayoitapa ni kuwa Politically Stable na hii threat ya mapinduzi na visiwa vingine kujitenga mara kwa mara itaisha! Faida kwa Tz zaidi ni kisiasa kwani hawa ni ndugu zetu na kama kuna shida itabidi tu tukawasaidie!

Tayari Exim Bank wamefungua tawi Moroni na Kiswahili kimeanza kufundishwa Chuo Kikuu cha Comoro! Pia kuna biashara kubwa tu kati yetu kwa sasa!

Komoro sii mwanachama wa SADC wala EAC kwa sasa tofauti na visiwa vingine Madagaska, Mauritius na Ushelisheli ambapo ni wanachama wa SADC!

My Take:

Inaonekana hawa jamaa tayari wametuzimia sana Tanzania haswa huyu raisi wao!

Je wakuu mnaonaje?



Source: HabariLeo | Kikwete awaonya wanasiasa Comoro

ndiyo yale yale ya ZNZ na Tanganyika yetu..Rais wa Comoro na siyo wananchi wa comoro..haya ni maslahi binafsi ya huyu mkubwa na siyo ya wananchi wake ambao muda ukifika wataanza kuhoji uhalali wa huu muungano kama hawa wa znz walioburuzwa na Karume na Nyerere..

Tujivunie Tanganyika yetu na tuijenge Tanganyika yetu...tuingie katika mikataba maalum ya ushirikiano wa kijeshi, kiuchumi n.k lakini hatutaki tena haya ya miungano ya mataifa mawili
 
  1. Tatizo la wazanzibar ni lile shina la ukoo/uzao/wenye asili ya kisultan. Hao ndiyo wao wanafikiria kurudisha utawala wa kisultan.
  2. Halafu hawafikirii kama tukitengana itabidi waombe visa kuja bongo, na tukiwabania kuanzia tanesco, kibishara si watakufa na njaa, na tukifukuza wazenji wote si itakuwa noma, kwanza wanajeshi wa JWT wamechanganywa kwelikweli wengi wapo zenj wengine wazenj wapo bara, sasa huo mchakato utaendaje?
  3. Nadhani kwa ufupi muungano hauwezi kuvunjika, na kama kuna mdau alikuwa na ndoto asahau!
 
Mwenza wako anapotaka kukuacha na atakapokuacha usikurupuke kutafuta mwingine.kaa pima na tafakari nini kilimwondoa aliyeondoka.
 
Back
Top Bottom