Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
GT,
Jana niliposoma huu ujumbe, nikaingia kwenye Google Earth na kuiangalia hiyo ichi. Ni tuvisiwa na milima kwa sana. Wapare watafeel at home (shemeji zangu msinipopoe mawe). Nilipofika sehemu ilipo AIRPORT, niliona neno KARIBU ila kidogo wameandika KIFARANSA. Mnaweza kuangalia kisiwa hicho na vinginevyo hapo jirani .......
Jana niliposoma huu ujumbe, nikaingia kwenye Google Earth na kuiangalia hiyo ichi. Ni tuvisiwa na milima kwa sana. Wapare watafeel at home (shemeji zangu msinipopoe mawe). Nilipofika sehemu ilipo AIRPORT, niliona neno KARIBU ila kidogo wameandika KIFARANSA. Mnaweza kuangalia kisiwa hicho na vinginevyo hapo jirani .......