William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Communism na Capitalism maana yake ni nini hasa? zilifanikiwa au zili-fail? Nani walioanzisha na kwa nini? zilianzia wapi na lini? Nini matokeo yake kwa Dunia na hasa sisi Tanzania? Tanzania ya leo tunafuata Communism au Capitalism? Na ikibidi tufuate ideology ipi kati ya hizo mbili kwa ajili ya manufaa yetu? Do we need any of this ideologies? Tujadili wakuu!
Ahsanteni.
William.
Ahsanteni.
William.