Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 944
Waungwana hivi kwa nini hakuna mjasilimali alieanzisha commodity market in Tanzania? Hii itasababisha kustabilize price ya nafaka nyingi nchini, vilevile itawapa wakulima access na wateja direct.
Ethiopia wameanzisha, Kenya wamefanya hivyo. Kwa nini Tanzania tunalega lega?
Ethiopia wameanzisha, Kenya wamefanya hivyo. Kwa nini Tanzania tunalega lega?