IzeGREAT
Member
- Jan 15, 2009
- 61
- 21
All my life I have been living under discouragements,discouragements almost from everybody around I,friends,classmates,teachers and much worse even my own brothers and sisters discouraged I,all what I have been hearing from them was
- U cant do this/that,...tried to ask why but the answers were ''U jst cant do it,can U stop!??
- ''Saivi unapata Hisabati 100%,ngoja ufike darasa la 6 kama utapata tena''..,I reached and got!!
- ''Kufaulu darasa la 7 mtihani wa Taifa kazi sana''..,thank GOD nikajikuta nimefaulu into the school of my dreams by that times.
- ''Sekondari kila kitu ni kwa Kiingereza,ngoja ufike uone balaa lake,utachezea namba za viatu mpaka uchoke''..,again,by the powers of ALMIGHTY,I NEVER GOT THOSE TYPES OF MARKS.
- ''Unashangaa watu kupata four,subiri NECTA yako ifike ndo utajua joto lake,ukiwa kwenye chumba cha mtihani kila kitu kichwani kinakimbia,utasahau hata definitions tu'',..yet I remembered more than definitions and went on to high school,ingawa this time not to my dream school,I happened to like MZUMBE HIGH SCHOOL ila nikapelekwa ILBORU HIGH SCHOOL,thank GOD life wasnt bad,I had fanz zer.
- ''PCB ni ngumu sana,zaidi ya yote UDAKTARI hautakupeleka popote kimaisha,mishahara kwanza ni midogo kwa Tz,badili uchukue EGM,latter ukapige B-COM UDSM,watu wanakula hela za kumwaga bila pressure''..,this ONE did hurt I,because I tried to ask some few MDs profesionals and there was a truth and still it is true til now for Tz as well as many African countries.
The funny thing is that,I decided to take PCB and went for MEDICINE,because its something I love.
UTATA WANGU MKUBWA NI KUHUSU MY FUTURE,NATAKA NICHUKUE SURGERY,SPECIFALY-PLASTIC SURGERY,je..
1) Ukiangalia ukweli halisi wa Surgery Tz,ni posibo kuja kuweza kufanya kazi as PLASTIC SURGEON kwa hivi karibuni(i.e sina uhakika kama kuna kitengo cha PLASTIC SURGERY Tz til now)???
2) Nikiweza kusoma PLASTIC SURGERY nisome tu hata kama inamaanisha kuishi ugenini for the rest of my life???
3) Kama nikisema nije na strategies za kuwa mwanzilishi wa kitengo cha PLASTIC SURGERY Tz(..i.e kama hakipo..) naweza kufanikiwa kweli(KWA NAMNA IPI UKICHUKULIA UKWELI KWAMBA KUNA HOSPITALS Tz HAZINA HATA X-RAY MACHINES)-WALIOWAHI KUWA WA KWANZA KUANZISHA DEPARTMENTS Tz MDs PLEASE!!??
..''I REALY WANA BECOME SOMETHING/SOMEBODY THROUGH MY CAREER,AS I COMES FROM NOTHING/NOBODY AND YET I DONT KNOW HOW TO FIGHT THE LAST IMPOSSIBLE(AS IT MIGHT BE SEEN BY MANY PEOPLE) THAT STANDS BEFORE I AND TURN IT INTO REALITY LIKE THE REST OF MY PREVIOUS JOURNEY''...,GIVE I THE SECRET AND SACRIFICES OF BEING THE FOUNDER OF WHAT YOU DO OR OTHERS HAVE DONE IN THEIR LIVES!!!
-...NIKO TAYARI KUPOKEA UKWELI WA MAMBO HATA KAMA UNAUMA...-
- U cant do this/that,...tried to ask why but the answers were ''U jst cant do it,can U stop!??
- ''Saivi unapata Hisabati 100%,ngoja ufike darasa la 6 kama utapata tena''..,I reached and got!!
- ''Kufaulu darasa la 7 mtihani wa Taifa kazi sana''..,thank GOD nikajikuta nimefaulu into the school of my dreams by that times.
- ''Sekondari kila kitu ni kwa Kiingereza,ngoja ufike uone balaa lake,utachezea namba za viatu mpaka uchoke''..,again,by the powers of ALMIGHTY,I NEVER GOT THOSE TYPES OF MARKS.
- ''Unashangaa watu kupata four,subiri NECTA yako ifike ndo utajua joto lake,ukiwa kwenye chumba cha mtihani kila kitu kichwani kinakimbia,utasahau hata definitions tu'',..yet I remembered more than definitions and went on to high school,ingawa this time not to my dream school,I happened to like MZUMBE HIGH SCHOOL ila nikapelekwa ILBORU HIGH SCHOOL,thank GOD life wasnt bad,I had fanz zer.
- ''PCB ni ngumu sana,zaidi ya yote UDAKTARI hautakupeleka popote kimaisha,mishahara kwanza ni midogo kwa Tz,badili uchukue EGM,latter ukapige B-COM UDSM,watu wanakula hela za kumwaga bila pressure''..,this ONE did hurt I,because I tried to ask some few MDs profesionals and there was a truth and still it is true til now for Tz as well as many African countries.
The funny thing is that,I decided to take PCB and went for MEDICINE,because its something I love.
UTATA WANGU MKUBWA NI KUHUSU MY FUTURE,NATAKA NICHUKUE SURGERY,SPECIFALY-PLASTIC SURGERY,je..
1) Ukiangalia ukweli halisi wa Surgery Tz,ni posibo kuja kuweza kufanya kazi as PLASTIC SURGEON kwa hivi karibuni(i.e sina uhakika kama kuna kitengo cha PLASTIC SURGERY Tz til now)???
2) Nikiweza kusoma PLASTIC SURGERY nisome tu hata kama inamaanisha kuishi ugenini for the rest of my life???
3) Kama nikisema nije na strategies za kuwa mwanzilishi wa kitengo cha PLASTIC SURGERY Tz(..i.e kama hakipo..) naweza kufanikiwa kweli(KWA NAMNA IPI UKICHUKULIA UKWELI KWAMBA KUNA HOSPITALS Tz HAZINA HATA X-RAY MACHINES)-WALIOWAHI KUWA WA KWANZA KUANZISHA DEPARTMENTS Tz MDs PLEASE!!??
..''I REALY WANA BECOME SOMETHING/SOMEBODY THROUGH MY CAREER,AS I COMES FROM NOTHING/NOBODY AND YET I DONT KNOW HOW TO FIGHT THE LAST IMPOSSIBLE(AS IT MIGHT BE SEEN BY MANY PEOPLE) THAT STANDS BEFORE I AND TURN IT INTO REALITY LIKE THE REST OF MY PREVIOUS JOURNEY''...,GIVE I THE SECRET AND SACRIFICES OF BEING THE FOUNDER OF WHAT YOU DO OR OTHERS HAVE DONE IN THEIR LIVES!!!
-...NIKO TAYARI KUPOKEA UKWELI WA MAMBO HATA KAMA UNAUMA...-