kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Habari za leo wapendwa, naomba kama kuna yeyote amesikia kauli ya ephraim kibonde ktk kipindi chake cha jahazi kuhusu kifo cha mwandishi Daud Mwangosi anijuze tafadhali maana naona habari hii ni mtego kwake, je ameegemea upande wa serikali ya ccm na jeshi lake la polisi au upande wa mwandishi mwenzie japo alikuwa anaripoti habari za chadema? ni hayo wakuu.