Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Kulipigwa kikapu kati ya Michigan State University na North Carolina....
wamarekani wamepata rais,u can feel proud to be american sio kwetu aibu tupu ngoja nikamilishe mipango yangu ya kubadili uraia niachane na uozo huu wa tz
nimependaa pichaaa ya mwisho....u can feel through smile and that luk!!kwambaaa there so inlove,JK hawezi kukaa hivi na kutabasamu kama hivi na mama salma.
Hivi haiwezekana obama kuchukua uraia wa tz baada ya muda wake kwisha huko
usa aje agombee kwetu tumpe nchi?
nimependaa pichaaa ya mwisho....u can feel through smile and that luk!!kwambaaa there so inlove,JK hawezi kukaa hivi na kutabasamu kama hivi na mama salma.
Hakuna nchi inayoikaribia Marekani ikija kwenye haya mameli ya kivita/kijeshi.
nimependaa pichaaa ya mwisho....u can feel through smile and that luk!!kwambaaa there so inlove,JK hawezi kukaa hivi na kutabasamu kama hivi na mama salma.