shida yangu mimi ni MUDA AMBAO SRED IMERUSHWA.....
Hapa kuna mtu alishanyimwa...
shida yangu mimi ni MUDA AMBAO SRED IMERUSHWA.....
Hata mie nilikua najiuliza hilo..sijaisoma sheria ya ubakaji, hivi kwenye ile sheria kuna kipengele cha mwanamume juu ya miaka 18 akalalamika amebakwa? hebu mwenye data anijuze kabla sijachangia mada!!Mwanamke anaweza kumlazimisha mwanaume wafanye matusi???
naomba niulize tu then i will be out of here, inawezekanaje kufanya makamuzi wakati una hasira na mtu? i mean how would you do it? would you be able to say nice things to him? to kiss ghim nicely and to tell him you loove him etc,etc? is it possible?
Ushawahi kuona rough sex wewe mara nyingi inatokea wakati mwanaume amekasirika na mengine kama hayo. wakati mwingine anaweza kuwa anaongea wakati wa tendo " hii ndio inakufanya uwe na kiburi ee nakwambia nijibu nijibu nijibu husikii wewe mwanamke??? nijibuuuuuuuuu. mwanamke nae kashaanza kukolea, ndio mume wangu ooooh uuuuwi nisamehe nakupenda haki ya mu... thirudii tena, mara mume kabadilika uso ohoooo tayari. mfano tu jamani msiniquote!
dah! post yangu imechukua dakika 5 kuiandika halaf unaiita pumba. sawa bana Mungu atanilipiaPumba za mahindi mabovu
Kwa kweli ninakubaliana nawe ni sawa kulink na hisia but mbona kama sometimes hawatuelewi wenzetu?? Mimi nakumbuka there was a time back there nilikasirishwa nikanuna na kumnunisha MJ1 mdogo ......nikaambiwa wakigombana MJ1 mkubwa na Baba Chanja wake ugomvi huo hauwahusi MJ1 mdogo na Baba Chanja mdogo.......nilichoka.mi nafikiri wakati wowote ambapo mtu hataki au hayuko tayari kufanya tendo la ndoa nawewe na ukamlazimisha ni UBAKAJI......:A S 20:
Its right to link tendo la ndoa na feelings,there is no way unless am doing business that i can separate my feelings from the man am making lv with.
It depends on what a man has done to hurt my feelings,lets say he did not wake me up to go to work.....on that one i will do the same when am suppose to wake him up so as he feels what i went through.....on the other hand,lets say he cheated on me..........i do not think i will be interested on having sex with him until my mind is cleared.:coffee:
Kaizer this is a very valid question.....will she?? and after how long ?? Kwa sababu sometimes huwa tunaombwa misamaha and yet tunasimamisha shingo.........would u go back and have sex afterwards then,,:coffee:
it is not that we tend to link feeling na lile tendo but thats is biological fact that for women to enjoy sex there must be emotional feelings attached to it, so anger, hurtfeeling, depression, worries and stress in so many cases make women less interested in sex!
Oh..kumbe?? But hivi kweli unawezaresist.............nimekuudhi then nakufanyia mahanjumati kweli mzee anaweza kugoma kwenda?? Sijawahi kujaribu hebu ngoja nifanye experiment............hii iko applicable hata kwa men pia....na ni worse kweli kwetu cause you cant fake it!
Aksante Klorokwin..hiki ndicho ambacho nilikuwa nakisemea.........so hii kitu wanawake tunatake advantage.........huwa ninaukumbuka sana mfano wa nyamayao kuwa Mr akinuna anajifanya kaona mende jikoni anaruka futi mia na keleuwiii nyingi then Mr akijakutizama kuna nini anamkuta nyamayao chini akigumia kama kaumia ........akifanya kosa tu la kumwinamia kumnyanyua anajikuta anamalizia kila kitu........sasa nasi hii tuite kubaka?? Maana inakuwa kama tumamlaimisha pasipo ridhaa yake ............tukisaidiwa na maumbilenakubaliana na wewe kabisa, na upande wa mwanaume ni kama kiberiti tu mara nyingi akisuguliwa kidogo tu analipuka. nakumbuka kuna siku nilikuwa na msiba halaf waifu akajipitisha pitisha nikajishtukia nimempeleka kuzimu. baadae nikajifanya kumlaumu kwanini aliniruhusu?, kumbe ni mimi bana. dah!
Mh hii ni mpya so kabla ya hapo atabembeleza but akishawafahamu kina Miss Jolly and Miss Kona Bar tumeumia?? Hapo ni kama kanyimwa ...je kama yeye ndo kanyima kwa kuwa ana hasira?? si ni yale yale tu??......ananyima kwa kuwa kuna anakopeleka/pata?? na kama ni kweli basi anaweza akawa anatafuta sababu za kukunyima kila siku!!Mwanaume akianza kwenda KONA BAR NA JOLY basi mama umeumia,usidhubutu kumnyima mumeo unyumba
shida yangu mimi ni MUDA AMBAO SRED IMERUSHWA.....
yani gaga nimecheka hadi mbavu sina lol, bt mi nikikasirka n if its a genuine reason, mtu lazima aombe msamaha kwanza ndo apate mambo roho yangu ikiwa safi.Ushawahi kuona rough sex wewe mara nyingi inatokea wakati mwanaume amekasirika na mengine kama hayo. wakati mwingine anaweza kuwa anaongea wakati wa tendo " hii ndio inakufanya uwe na kiburi ee nakwambia nijibu nijibu nijibu husikii wewe mwanamke??? nijibuuuuuuuuu. mwanamke nae kashaanza kukolea, ndio mume wangu ooooh uuuuwi nisamehe nakupenda haki ya mu... thirudii tena, mara mume kabadilika uso ohoooo tayari. mfuano tu jamani msiniquote!
Mi naona ni kila mtu alivyo tu, kuna wadada wengine wakinuna mpaka wiki hadi mwezi hapo hamsemeshi mwenzie na wanaume pia japo wao si saana kama sie wanawake. mwanamke anaweza kumaliza ugomvi mapema kuliko mwanaume sababu yapower of seduction tuliyojaliwa na mungu.utakuta mwanamke kamkosea mumewe anaomba tu usiku ufike visa vinaanza kitandani hatimae utakuta mwanaume tayari yuko kwenye match neno la kwanza kuongea wakati process inaendelea ni " uthirudie tena lakini" aaaaah hapo mwanamke anachekea pembeni cause tayari ugomvi umeisha
Pia wanawake wengine kama kina sie tuna weakness ya kusamehe mapema sana na kusahau saa ingine usiku unakuta tayari ushajisogeza kukumbatiwa wakati umekumbatiwa ndio unakumbuka kumbe umenuna duh kujitoa huwezi unabaki tu kugunaguna
Kaizer this is a very valid question.....will she?? and after how long ?? Kwa sababu sometimes huwa tunaombwa misamaha and yet tunasimamisha shingo.........
But some hawana neno samahani kwenye dictionaries zao na njia pekee ya kureconsile ni through that act
Kwa kweli ninakubaliana nawe ni sawa kulink na hisia but mbona kama sometimes hawatuelewi wenzetu?? Mimi nakumbuka there was a time back there nilikasirishwa nikanuna na kumnunisha MJ1 mdogo ......nikaambiwa wakigombana MJ1 mkubwa na Baba Chanja wake ugomvi huo hauwahusi MJ1 mdogo na Baba Chanja mdogo.......nilichoka.
Sasa sijui hizi feelings attached to sex iko kwa wanawake tu au hata wanaume huwa wanahusika??