MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
My dear Brothers and Sisters
Greetings from the very bottom of my heart....
Nimekuwa nikiwaza kwa nini kina kaka huwa wanatuaccuse kina dada kuwa tunatumia 'Vitendea kazi" vyetu kuwanyanyasa hasa pale wanapotukosea.....utasikia kuwa tunawaadhibu kwa kutumia 'uchumi wetu' ..tena wengi wetu tunajustify kwa kulink lile tendo na hisia kuwa kama hisia kwa maana ya feelings zako zimeumizwa basi hata ile hamu inapotea kabisa na hivyo akikulazimisha ni sawa na kukubaka (nadhani maactivists wa haki za binadamu sijui kina mama wataniunga mkono hapa) hence the whole concept ya mume kumbaka mkewe inapopewa uzito.
Najiuliza tu............hivi mume/boyfriend akiudhiwa na kukasirika huwa tunafanyaje iwapo atakunyima??
Namkumbuka nyamayao hapa na ile style yake ya kujifanya kamwangukia juu wakati akimruka kitandani aende kushii usiku au ile ya kaona mende jikoni anamrukia then mambo yote yanamalizikia hapo.............je huku si kumbaka na yeye?
Je ni sawa tunavyofanya haya?-
Is it right to link hili tendo na feelings?
If yes, is it right also to deny our partners kwa madai ya kuwa tumekuwa hurted?
What are the consequences of this particular behaviour?
Wanaume how do you feel when you are denied of sex from your partner kisa umemkosea?? what are your reactions?
Am sorry maswali yamekuwa mengi but just feel free kurespond kwa yale utayoweza. Aksante
Greetings from the very bottom of my heart....
Nimekuwa nikiwaza kwa nini kina kaka huwa wanatuaccuse kina dada kuwa tunatumia 'Vitendea kazi" vyetu kuwanyanyasa hasa pale wanapotukosea.....utasikia kuwa tunawaadhibu kwa kutumia 'uchumi wetu' ..tena wengi wetu tunajustify kwa kulink lile tendo na hisia kuwa kama hisia kwa maana ya feelings zako zimeumizwa basi hata ile hamu inapotea kabisa na hivyo akikulazimisha ni sawa na kukubaka (nadhani maactivists wa haki za binadamu sijui kina mama wataniunga mkono hapa) hence the whole concept ya mume kumbaka mkewe inapopewa uzito.
Najiuliza tu............hivi mume/boyfriend akiudhiwa na kukasirika huwa tunafanyaje iwapo atakunyima??
Namkumbuka nyamayao hapa na ile style yake ya kujifanya kamwangukia juu wakati akimruka kitandani aende kushii usiku au ile ya kaona mende jikoni anamrukia then mambo yote yanamalizikia hapo.............je huku si kumbaka na yeye?
Je ni sawa tunavyofanya haya?-
Is it right to link hili tendo na feelings?
If yes, is it right also to deny our partners kwa madai ya kuwa tumekuwa hurted?
What are the consequences of this particular behaviour?
Wanaume how do you feel when you are denied of sex from your partner kisa umemkosea?? what are your reactions?
Am sorry maswali yamekuwa mengi but just feel free kurespond kwa yale utayoweza. Aksante