Katika taarifa ya habari TBC1 usiku huu, mwanafunzi pekee katika shule ya sekondari ya kata ya Mashujaa wilayani Songea Colman Mboya aliyepata division 1 points 15, pamoja na mama yake mzazi wametoa angalizo kwa watanzania kuwa kamwe wasizibeze shule za kata. Na mimi huo ndo msimamo wangu. Wewe je msimamo wako ni upi???