Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Collin Powel amesema wazi kuwa alimpa kura yake Rais Barack Obama katika uchaguzi uliofanyika 2008. Pia ameeleza wazi msimamo wake kuwa atampa tena kura ndio Obama katika uchaguzi wa mwaka huu.......
Source: BBC News
My take:
Kiongozi gani hapa bongo anaweza kueleza kitu cha namna hii??
Source: BBC News
My take:
Kiongozi gani hapa bongo anaweza kueleza kitu cha namna hii??