Duh, nilipokua chuo nilipenda sana kumix coca au pepsi na valuer especially kipindi kile hali ya hewa kunako waleti na akaunti inapokua tete.
pia kama gari lako limejaza carbon kwenye terminals za betri, unaweza kuondoa vizuri wka kutumia cocacola
kama sink lako la chooni au vyombo likeweka weusi, mwagia cocacola, leave it for few minutes na sugua kwa sabuni.....kitu kinakuwa kama kipya!
kumbuka tumboni au mwilini siyo sawa na hivyo vyuma au nuts
ukieka msumari kwenye coke itayeyuka baada ya siku sita so sishangai
Duh, nilipokua chuo nilipenda sana kumix coca au pepsi na valuer especially kipindi kile hali ya hewa kunako waleti na akaunti inapokua tete.
unaikumbuka coa cola ya mwaka 1971 ilivyokuwa inagonga kisogoni mara baada ya kuinywa?Kama ndivyo basi Coca & Pepsi Baibai
mkubwa najaribu kukubaliana nawe kwa WHO Isingekubali ilo, ........... lakini TBS! kwani ni mangapi? au mwenzetu sio mtz!!?????????????Hii ndio pointi ya msingi. Unadhani ingekuwa na madhara ya kufa mtu WHO na TBS wangewapa Coca ama Pepsi certificate ya usalama kwa matumizi ya binadamu? Think twice.
Na mimi ambae sinywi Coca?
unaikumbuka coa cola ya mwaka 1971 ilivyokuwa inagonga kisogoni mara baada ya kuinywa?
mkubwa najaribu kukubaliana nawe kwa WHO Isingekubali ilo, ........... lakini TBS! kwani ni mangapi? au mwenzetu sio mtz!!?????????????
Lengo la kumix lilikuwa ni lipi?