zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Hata mimi ningekuwepo ninge warushia mawe tu. Njaa zao ndio zinatutesa hivi sasa
Wewe ungekuwa unateseka ungekuwa kwenye mtandao saa hizi?
Hata mimi ningekuwepo ninge warushia mawe tu. Njaa zao ndio zinatutesa hivi sasa
Kama ni kweli basi ujuwe hao ni wanazi wa chadema waliofanya huo uhalifu tena utakuta ni watu wa Kaskazini. Huko kimara mabondeni ndio waliojazana huko.
lakini inawezeka wakawa wamefanya vijana wa ccm ili kutafuta kuandikwa na vyombo vya habari
mbona wao ccm wamechoma jana bendera za chadema tena hadharani??? moto moto tu...shenz...Hizo sio siasa bali ni ujinga. Waliotupa mawe kama ni wafuasi wa upinzani basi ni wahalifu na wahuni wakubwa hao. Wanachafua sifa ya amani waliyonayo wapinzani kwa sasa.
Siamini mpaka nione picha ya mabasi yenye bendera za CCM yakiwa yamevunjwa vioo.Kama ni kweli basi ujuwe hao ni wanazi wa chadema waliofanya huo uhalifu tena utakuta ni watu wa Kaskazini. Huko kimara mabondeni ndio waliojazana huko.
Ningetegemea reaction ingekuwa kupinga kuwa haiwezekani CCM kuleta watu toka Kibaha, Chalinze na Moro kwa ajili ya mkutano wa Jangwani.Magamba kazi ipo! Imagine hata kama kuna hizo kura 14850, unaweza ukatuambia unaziattribute vipi hizo kura kwa mnyika? Just like in Mpendazoe's case the fact kwamba kuna kijana alikamatwa na mihuri ya tume; how do you attribute that to Makongoro. Kama huelewi sheria, acha ku-coment, si lazima u-coment kila kitu dogo!
Siamini mpaka nione picha ya mabasi yenye bendera za CCM yakiwa yamevunjwa vioo.Kama ni kweli basi ujuwe hao ni wanazi wa chadema waliofanya huo uhalifu tena utakuta ni watu wa Kaskazini. Huko kimara mabondeni ndio waliojazana huko.
Ningetegemea reaction ingekuwa kupinga kuwa haiwezekani CCM kuleta watu toka Kibaha, Chalinze na Moro kwa ajili ya mkutano wa Jangwani.Magamba kazi ipo! Imagine hata kama kuna hizo kura 14850, unaweza ukatuambia unaziattribute vipi hizo kura kwa mnyika? Just like in Mpendazoe's case the fact kwamba kuna kijana alikamatwa na mihuri ya tume; how do you attribute that to Makongoro. Kama huelewi sheria, acha ku-coment, si lazima u-coment kila kitu dogo!
hiki ni kitu cha kulaaniwa
two wrongs wont make anything rightwalaniwe wanaokula kodi za wananchi kubeba watu kujaza jangwani.wananchi wamechoka bwana mawe tu mpaka wabadilike na magamba yao.
ndiyo wakome kushabikia ujinga utu haununuliwi hata kidogosafi sana ningekuwepo ningerusha japo moja.imeniboa watu wanawatetea wenyewe kazi kuhongwa buku2???haya hizo zitatatua matatizo waliyonayo??aaa bora wangewavunja meno cku ingine wangekataa kusombwa kama kokoto.
Hatunaga vyama vya upinzani wenye tabia hiyo!
Nina mashaka makubwa ya kwmb hao ni wanasisiem wenyewe wanataka kuwachafua wapinzani.
Itakula kwao! Hatunaga wapinzani wakorofi!