CNN: Kenya inaongoza kwa matumizi ya ICT, Tanzania kwa uchawi!

****. Tuelezwe vyema namna utafiti huo umefanyika katika nchi zote duniani na namna ya kudraw sample iwekwe wazi na maswali yote yaliyoulizwa na waliofanya huo utafiti wajulikane (profile yao)!

Tusikubali kuwa tunatukanwa tu na watafiti uchwara na kauli za ujumla jumla kama hizi

Mkuu OMBUDSMAN, haitaji kuwa na ushahidi wa aliyefanya research na kutoa live coverage inayohusu Tanzania kukumbatia imani za ushirikina. ukipitia maoni ya wana-jf unaweza hata wewe kuwa na conclusion kama ile ya mtagazaji wa cnn. kama watanzania wanaweza kuchagua kiongozi kama prof majimarefu kwa sifa zake za kishirikina naviongozi waliowengi kwenda kwa wa ganga/wachawi ilikufanikisha mambo yao, yet utakumbuka wabunge kumwagiana unga bungeni....

nashauri tufikirie suluhisho la tatizo ili na zaidi tukianzia chanzo chake: umaskini uliokithiri na elimu duni. viongozi wanaojiusisha na ushirikina wasipewe nafasi za kuliongoza taifa, nafasi ya kuhubili neno la Mungu ipanuliwe, elimu inayokidhi mahitaji ya ya jamii (i mean creative and innovative knowledge) itolewe na seriKali iwe mfano ktk rule of law na kuwawezesha watanzania kutoka ktk dimbwi la umaskini huu uliokithiri.
 
kwamba sisi tunaongoza duaniani kwa imani za kichawi is another research that nds proof. utafiti umefanyika kwa nchi 19 za africa then result ni kwamba tuntaongoza duniani, nigeria wameponea wapi? wao wenyewe whites ni wachawi balaa na ni vigumu kudetect maana uchawi wao uko juu sana
 
Kenyans are in it as major 'importers' of witchcraft, please read this;

06th October 2012

5 hospitalised in witchcraft drama
There was drama when five men from Tseikuru location in Tharaka Nithi County lost consciousness on Friday evening after partaking a concoction prepared by two witchdoctors from Pemba in Tanzania.


The five men were among many people who had turned out to witness the 'miracles' that were being performed by the two witchdoctors.


According to Henry Muthengi, an eye witness, the two witchdoctors came all the way from Pemba Island in Tanzania following an invitation from one of the villagers who had lost his son.


He explained he had invited the witchdoctors to intervene after the search for his son had proved futile.


Upon arrival in Tseikuru, the witch doctors went to a market place where they gathered the people around.


They proceeded to prepare a concoction which Mr Muthengi says looked, in appearance and taste, like it was made from tobacco.


The witchdoctors then administered the concoction to the people who gathered around, assuring them that it would not have any effect on them if they were sure that they did not know the whereabouts of the lost son.


The first five men to take the concoction collapsed immediately, scaring those present.


Out of fear, the bystanders dispersed and, surprisingly, even the two witchdoctors took to their heels leaving the unconscious men alone.


It was after the disappearance of the witchdoctors that the residents alerted the police and the two were later arrested in Kyuso trying to
escape. They were then forced to attend to the five men who had collapsed.


The five men were then taken to hospital by the police.
Source: 5 hospitalised in witchcraft drama - Counties - nation.co.ke
 
Mkuu OMBUDSMAN, haitaji kuwa na ushahidi wa aliyefanya research

nashauri tufikirie suluhisho la tatizo ili na zaidi tukianzia chanzo chake: umaskini uliokithiri na elimu duni. viongozi wanaojiusisha na ushirikina wasipewe nafasi za kuliongoza taifa, nafasi ya kuhubili neno la Mungu ipanuliwe, elimu inayokidhi mahitaji ya ya jamii (i mean creative and innovative knowledge) itolewe na seriKali iwe mfano ktk rule of law na kuwawezesha watanzania kutoka ktk dimbwi la umaskini huu uliokithiri.


Mkuu nakubali tatizo lipo tena sana tu tulishughulikie. Ninachokataa ni kisema sisi tunaongoza duniani kwa imani za kichawi. An extraordinary claim requires an extraordinary evidence! Wewe unashangaa Ubunge kuna Marais wengi tu duniani ambao wanaimani ya kishirikina, kweli ni tatizo lakini usithubutu kuwapa watu ushindi bila vigezo wala kushindanishwa na wengine.
 
****. Tuelezwe vyema namna utafiti huo umefanyika katika nchi zote duniani na namna ya kudraw sample iwekwe wazi na maswali yote yaliyoulizwa na waliofanya huo utafiti wajulikane (profile yao)!

Tusikubali kuwa tunatukanwa tu na watafiti uchwara na kauli za ujumla jumla kama hizi

Mkuu utafiti ulifanywa kwa babu loliondo.. Baada ya kuona serikali nzima ilienda kupata dawa toka kwa "babu alieoteshwa" watafiti wakawa wamepata walichotaka.. Serikali inaamini katika ulozi.. Wananchi nao tunaamini katika ulozi.. Hatuonewi..
 
kwamba sisi tunaongoza duaniani kwa imani za kichawi is another research that nds proof. utafiti umefanyika kwa nchi 19 za africa then result ni kwamba tuntaongoza duniani, nigeria wameponea wapi? wao wenyewe whites ni wachawi balaa na ni vigumu kudetect maana uchawi wao uko juu sana
Kuwepo kwa Imani ya ushirikina ina maana kubwa zaidi ya kuwepo tu wachawi..Kuna ukweli mkubwa sana kwamba watanzania wanaamini ushirikina sana na naweza kusema kati ya watu 10 wanane wameisha enda kwa waganga wa kienyeji sio kutibiwa bali kusomewa bao, kuombewa, kuroga, Kijikinga au kuponyeshwa ati wamerogwa. Siku hizi kuna matangazo ya waganga wa kienyeji wa bao na nyota kila mtaa na wapo wengi kuliko madaktari wa hospital na zahanati combined. Angalia Mzee wa Loliondo alivyochota watu sidhani kama hashiki record ya Dunia kwa kutibia wagonjwa wengi kwa muda mfupi (zote ni shiriki) - Sasa tunategemea nini?..
 
Kuwepo kwa Imani ya ushirikina ina maana kubwa zaidi ya kuwepo tu wachawi..Kuna ukweli mkubwa sana kwamba watanzania wanaamini ushirikina sana na naweza kusema kati ya watu 10 wanane wameisha enda kwa waganga wa kienyeji sio kutibiwa bali kusomewa bao, kuombewa, kuroga, Kijikinga au kuponyeshwa ati wamerogwa. Siku hizi kuna matangazo ya waganga wa kienyeji wa bao na nyota kila mtaa na wapo wengi kuliko madaktari wa hospital na zahanati combined. Angalia Mzee wa Loliondo alivyochota watu sidhani kama hashiki record ya Dunia kwa kutibia wagonjwa wengi kwa muda mfupi (zote ni shiriki) - Sasa tunategemea nini?..

mkuu asante kwa maelezo. sounds true
 
Kweli kabisa rais kikwete mbna alilindwa na kishirikina tena na ulinzi usionekana kutoka kwa sheikh yahya aliyekuwa bingwa wa mambo hayo afrika mashariki
 
Serikali nzima inaenda Loliondo kwa babu Mwasapile utategemea nini? Au ushasahau viongozi ni kioo cha jamii?

Siyo tu CNN hata ETV ya Afrika kusini walishawahi onesha documentary film ya mauaji ya Albino Tanzania
Hata al Jazeera wameonyesha two weeks ago on albino killings in TZ.
 
hichi kipindi hakija sema uongo kabisa. Waganga wanaaminika zaidi Tanzania. Waganga wameachiwa huru kufanya watakavo. Mimi sioni ajabu sababu nimeishi nchi zote mbili au tatu na nimeona mengi sana na naamini kuwa kenya wanaongoza kwa teknolojia.
Tanzania tunashindana kwa uchawi na uganga.
 
Tanzania inaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku na ufisadi na kuwa rais wa ajabu ajabu anayependa kusafiri kuliko kufanya kazi ofisini. Tanzania inaongoza pia kwa kuwapendelea wawekezaji hasa matapeli wa kichina na kihindi. Pia Tanzania inaongoza kwa ujima.
 
anayebisha atueleze prof.maji marefu(mb) alichaguliwa na wananchi kwa kigezo kipi haswa
 
Hii ripoti mbona inatuweka mahali pabaya tena.

Labda ndio maana huwa wanafanya mambo kinyume-nyume hapa nyumbani. Mfano mambo ya maana/muhimu na ya kisayansi kwa ajili ya maendeleo ya watu wote hayapewi kipaumbele lakini mambo ya kipuuzi yana nafasi kubwa ikulu na ktk media.
 
Errol Barnett, mtangazaji wa CNN anafanya vipindi kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Juzi alitoa kipinfi kuwa Kenya inaongoza kwa matumizi ya computer na Internet barani Afrika.

Sasa hivi naangalia kipindi hicho CNN kinasema Tanzania inaongoza kwa imani za uchawi duniani kutokana na utafiti wa Marekani. Kuna muhindi wa Tanzania kwenye hicho kipindi kama mkarimani amempeleka mtangazaji wa CNN kwa mganga wa kienyeji anaitwa Mama Safi.

Hizi ni fitna za CNN dhidi ya Tanzania kuwapendelea Wakenya? Je, ni kweli Watanzania tunaamini sana uchawi? Napata maswali mengi huku nikiangalia kipindi hiki kwa hasira.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!

Najua Mojo umekerwa sana na taarifa hizo, si wewe pekee, inawezekana na wengine pia wapo wanaokerwa. Lakini ngoja nikushirikishe jambo lilo ndani ya ukweli wa usemi huu: "VICHAKA VINA MASIKIO NA VIWANJA VINA MACHO"! Kwa siri tunasikia na tunajua kuna viongozi wanatafuta nyadhifa zao kwa kutumia nguvu za "wachawi", lakini hadharani tunaona maalbino wakiuuawa kikatili na wanadamu wenzetu, tena kinyama,kwa imani za kishirikina, eti wapate utajiri, umepata kusikia taifa gani jingine duniani linafanya haya? na bado tunataka watu wengine wakae kimya? Mbona sisi wenyewe tunakemeana tena kwa sauti kubwa juu ya kupiga vita jambo hili. Tunaaibika, lakini ukweli wacha usemwe! HIVYO NDIVYO TULIVYO!!
 
kama rais we2 anaamin uchawi na akasema alilogwa kpnd kile cha uchaguz unategemea nn!
 
Mwishoni mwa mwaka jana shirika la utangazaji la marekani la cnn iliripoti kwamba ktk africa mashariki na kati Tanzania tunaongoza kwa uchawi! Nimeanza kuamini kwamba ni kweli kwa jinsi matukio yanayohusu uchawi yanavyoripotiwa mtwara na lile la Itv habari kwamba watu wa 3 wameanguka kwa ungo karibu na kituo cha polisi, na walikuwa wanashikiliwa! Tena wakahojiwa na kukiri kuwa mmoja wao alikosea masharti kwa kutazama nyuma ndo maana wakaanguka! Eti wanasema walikuwa wanaenda msibani mbeya ambapo mama yao amefariki!,
Huko mtwara nako wamechoma nyumba ya diwani kwa mambo hayo hayo, huko huko mtwara Bibi mmoja amesema mabomba ya gas yatatoa maji! Kama serikali itapeleka gas dar es salaam!
Sasa hichi nini wadau?
 
Mwishoni mwa mwaka jana shirika la utangazaji la marekani la cnn iliripoti kwamba ktk africa mashariki na kati Tanzania tunaongoza kwa uchawi! Nimeanza kuamini kwamba ni kweli kwa jinsi matukio yanayohusu uchawi yanavyoripotiwa mtwara na lile la Itv habari kwamba watu wa 3 wameanguka kwa ungo karibu na kituo cha polisi, na walikuwa wanashikiliwa! Tena wakahojiwa na kukiri kuwa mmoja wao alikosea masharti kwa kutazama nyuma ndo maana wakaanguka! Eti wanasema walikuwa wanaenda msibani mbeya ambapo mama yao amefariki!,
Huko mtwara nako wamechoma nyumba ya diwani kwa mambo hayo hayo, huko huko mtwara Bibi mmoja amesema mabomba ya gas yatatoa maji! Kama serikali itapeleka gas dar es salaam!
Sasa hichi nini wadau?

Mkuu ni maisha yamekuwa magumu hivyo watu wanabuni njia mbalimbali za kujiingizia riziki. Hizi habari za kudondoka na ungo ukizifanyia uchunguzi unakuta zina agenda fulani ....kuingiza kipato
 
Sikatai kama tz uchawi upo,lakini napata shida na chombo hiki cha CNN kuendelea kuisakama sana Tz tangu ishu ya ziwa Nyasa mpaka hii.kwa nini wanaiandama sana tz hasa kipindi hiki wamarekani wakionyesha dhahiri kutaka kuchukua rasilimali zetu?nani asiyejua U.S ikishatokwa na udenda juu ya nchi fulani huanza kutengeneza internal conflicts kwa kutumia media zake,NGOs na vibaraka?hivi ni kweli tz inaizidi uchawi Congo?hawajaona Nigeria na south africa isipokuwa haka katz?nina neno moja tu la kuwaambia wamarekani humu jamvini na vibaraka wao wote wanaosoma hapa,NI KWELI MNAWEZA KUTUGAWA WATZ LAKINI TUTAGAWANYIKA MAKUNDI MAWILI TU,LA KWANZA WANANCHI WOTE UPANDE MMOJA,LA PILI HAO VIONGOZI VIBARAKA WENU MNAOKULA NAO,mnaweza kujua nani atashinda vita hiyo,kama hamjui nendeni EGYPT!SHENZI TYPE!
 
Hata leo vurugu iliyotokea Mtwara ni kwa vile kuna mtu aliyekuwa anasafiri na ungo, akapata hitilafu akatua kwa dharura na watu wakamuona. Eti alikuwa ana kwenda kumchukua yule bibi aliyesema JK asipomuona wakafikia muafaka, gesi kufika Dar itakuwa ndoto. Tanzania tunatisha!!
 
Back
Top Bottom