CNN: Kenya inaongoza kwa matumizi ya ICT, Tanzania kwa uchawi!

huu utafiti ni ukweli mtupu....kwa kuangalia mikoa hii sifa za uchawi.....

1.kigoma...huu ni mkoa ambao kuna uchawi wa watu kutolewa vivuli,treni ya umeme kuonekana ikipita usiku kule kasulu,ngurukaa

2.RUKWA...huu ni mkoa sifa zake za uchawi ni kule mpanda radi kuuzwa,subwawanga kule mvua kunyesha sehemu moja, wingi wa misukule kuonenekana mitaani

3.shinyanga.....huu mkoa kuna kijiji kinaitwa gamboshi ambao inasemekana ule ni mjii mkuu wa wachawi africa maana huu mji ikifika usiku unakuwa kama magorofa ila mchana poli,pale kahama wazee wenye macho kuuwawa,

4.tanga....huu ni mkoa kuna uchawi wanauita zongo ni maarufu sana tanga,ukikanyaga kifuu kinakwambia nirudishe uliponitoaa halafu kule pangani wazee wengi kuvaa sana msuri inasemekana karibia wote wana mabushaaa

5.bagamoyo.....huu mji usiku kuna vibwengoo huwa vinasumbua sana usiku kule baharini,

6.mbeya........huku wanachunwa ngozi,kiganja cha mkono wako kikiwa na alama ya m ni dili la pesa

7.pemba na unguja.....kule kuna uchawi wa vitabu....

8.tabora.....kule kuna sehemu inaitwa urambo na usoke.....huku kuna fisi watu, halafu yule nyoka anaitwa koboko nyoka wa ajabu ambae pale urambo mjini watu hufanyaga maonesho yake

9.iringaa .....kule ziwa nyasa misukuleee kuonekana.....mchana

10.morogoro......kwenye milima ya ulugulu
 
Unayebisha utakuwa ni MSHIRIKINA TU! Au UTAKUWA KIGOGO WA SERIKALI MSHIRIKINA! Alaah! Inamana hilo hulijui aisee? Ofice za serikali hata binafsi bila ya Ushirikina hukai ndugu!
 
Errol Barnett, mtangazaji wa CNN anafanya vipindi kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Juzi alitoa kipinfi kuwa Kenya inaongoza kwa matumizi ya computer na Internet barani Afrika.

Sasa hivi naangalia kipindi hicho CNN kinasema Tanzania inaongoza kwa imani za uchawi duniani kutokana na utafiti wa Marekani. Kuna muhindi wa Tanzania kwenye hicho kipindi kama mkarimani amempeleka mtangazaji wa CNN kwa mganga wa kienyeji anaitwa Mama Safi.

Hizi ni fitna za CNN dhidi ya Tanzania kuwapendelea Wakenya? Je, ni kweli Watanzania tunaamini sana uchawi? Napata maswali mengi huku nikiangalia kipindi hiki kwa hasira.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!

Sawa, uchawi upo ppte duniani. Kinachonikwaza mm ni kuona few cases zimechukuliwa na kutoa generalizations kwamba hvi ndio watanzania walivyo.
Lakini pia inabidi kujifunza kwamba kuna vitu ambavyo kama taifa tunaweza kuvitoa ktk vyombo vya habari na vingine viwe vya kwetu tu. Kwani kuna mkuu hapa kasema hata marekani kuna wachawi lakn huoni wala kusikia CNN au BBC.
 
wala CNN hawatusingizii kitu hapa, tanzania wachawi kweli kweli, mauaji albino, vikongwe, nenda sumbawanga au ukerewe huko, uchawi migodini, kwenye uvuvi maziwani nk. tena wengine wako proud of it. kwa hili la uchawi nakubaliana na CNN tuna tatzo la uchawi, the only thing am not sure ni statistics ukilinganisha na nchi jirani.
 
Sawa, uchawi upo ppte duniani. Kinachonikwaza mm ni kuona few cases zimechukuliwa na kutoa generalizations kwamba hvi ndio watanzania walivyo.
Lakini pia inabidi kujifunza kwamba kuna vitu ambavyo kama taifa tunaweza kuvitoa ktk vyombo vya habari na vingine viwe vya kwetu tu. Kwani kuna mkuu hapa kasema hata marekani kuna wachawi lakn huoni wala kusikia CNN au BBC.

sisi huwa tunakimbilia kubandika kwenye media kama vile ndo habari inayouza. uchafu kama huu ungekuwa unabaniwa kwenye media in national interests.
 
sisi huwa tunakimbilia kubandika kwenye media kama vile ndo habari inayouza. uchafu kama huu ungekuwa unabaniwa kwenye media in national interests.

Ni lazima tubadilike juu ya hili. Wakati wa vita vya Iraq au kule Afghanistan sio kwamba Marekani na washirika wake walikuwa hawapati kichapo lakn habari ya wao kupigwa huioni hata siku moja CNN au BBC! Na kuna wakati BBC ilitishiwa na wananchi wa uingereza kwamba inatumia kodi zao kuonyesha jinsi ndugu na watt wao walivyouawa vitani? Since then hawajaonyesha tena. Wazungu wanatuchafua kwa kuandika vibya tu vya Africa lakn bado na media zetu zinafanya hvyo hvyo. We need to change!
 
:biggrin1:

unakumbuka ile kauli kuwa ---mtu yeyote atakayegombea urais kumpinga jk atakufa---ya marehm shehe yahaya,
mungu amrehemu. na sikusikia akikemewa na wahusika,
thats hows how witchcraft permeates politics at such a high political level.
 
Sawa, uchawi upo ppte duniani. Kinachonikwaza mm ni kuona few cases zimechukuliwa na kutoa generalizations kwamba hvi ndio watanzania walivyo.
Lakini pia inabidi kujifunza kwamba kuna vitu ambavyo kama taifa tunaweza kuvitoa ktk vyombo vya habari na vingine viwe vya kwetu tu. Kwani kuna mkuu hapa kasema hata marekani kuna wachawi lakn huoni wala kusikia CNN au BBC.
Unatak kusema kuna nchi ambayo hata viongozi waandamizi wanaamini katika ushirikina kama wa hapa kwetu? Tanzania inatia fora Mkuu Tram Almasi, heu angalia hawa
 

Attachments

  • balele na kandoro.jpg
    balele na kandoro.jpg
    15.7 KB · Views: 51
  • dawa babu lukuvi.jpg
    dawa babu lukuvi.jpg
    48.3 KB · Views: 57
  • dawa.jpg
    dawa.jpg
    24.8 KB · Views: 53
  • dkmagupombe.jpg
    dkmagupombe.jpg
    21.6 KB · Views: 47
  • Kikombe maggid mjengwa.jpg
    Kikombe maggid mjengwa.jpg
    20 KB · Views: 49
  • babu.jpg
    babu.jpg
    20.5 KB · Views: 54
  • babu 2.jpg
    babu 2.jpg
    26.8 KB · Views: 49
  • maige.JPG
    maige.JPG
    29.2 KB · Views: 46
  • VIGOGO.jpg
    VIGOGO.jpg
    31.4 KB · Views: 50
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa nusu ya viongozi wa tanzania ni wanga, xorry wanatumia wapiga ramli kushinda na kulinda nafasi za kisiasa, kenya kaz kwenda mbele hakuna kujuana...wewe unapajua kijiji kinaitwa mlingotini hapo bagamoyo? Subiri uchaguz ndo utawaona wanasiasa hata usiwadhania wanaenda kuchanjwa chale, i destroy all witchcrafts works in the name of jesus
kule kwetu Mwanza bujora, na busenga aka gamboshi utawaona si mawaziri, wabunge, hata madiwani wakienda kupata chale za kufa mtu ili washinde na wapate ulinzi wa mizimu kweli ni hatari sana yaani wanaamini mizimu inasikitisha sana kwa kweli
 
Unatak kusema kuna nchi ambayo hata viongozi waandamizi wanaamini katika ushirikina kama wa hapa kwetu? Tanzania inatia fora Mkuu Tram Almasi, heu angalia hawa

yaani ni full mziki kunywa kikombe kwa babu hii inadhihirisha walivyo na afya mgogoro hawana imani na Mungu bali wanaimani sana mambo ya kishirikina
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Ni kweli Tanzania tunaongoza kwa uchawi. Hii inachangiwa na kukosekana na sheria muafaka inayodhibiti uchawi...
 
Ni kweli kabisa hata mkuu wa kaya baba mwanaaasha ni mfuasi wa hilo jambo tena yeye alipatiwa ulinzi usionekana na aliyekuwa gwiji wa mambo hayo afrika mashariki. Pata picha kama mkuu wa kaya anaimani hizo itakuwaje kwa wananchi wakawaida?
 
nchi inau huru wa kuabudu so kama mtu anaamini uchawi na unamsaidia tunashangaa nn kuongoza kwa imani za kishirikina?
 
Errol Barnett, mtangazaji wa CNN anafanya vipindi kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Juzi alitoa kipinfi kuwa Kenya inaongoza kwa matumizi ya computer na Internet barani Afrika.

Sasa hivi naangalia kipindi hicho CNN kinasema Tanzania inaongoza kwa imani za uchawi duniani kutokana na utafiti wa Marekani. Kuna muhindi wa Tanzania kwenye hicho kipindi kama mkarimani amempeleka mtangazaji wa CNN kwa mganga wa kienyeji anaitwa Mama Safi.

Hizi ni fitna za CNN dhidi ya Tanzania kuwapendelea Wakenya? Je, ni kweli Watanzania tunaamini sana uchawi? Napata maswali mengi huku nikiangalia kipindi hiki kwa hasira.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
Hizi ni fitna tu!!
Hapa Kenya waganga kutoka TZ ni wengi na wanafuata wateja wengi KENYA.
Hivi ni nani anayeamini kati ya hawa!?
 
Unatak kusema kuna nchi ambayo hata viongozi waandamizi wanaamini katika ushirikina kama wa hapa kwetu? Tanzania inatia fora Mkuu Tram Almasi, hebu angalia hawa

Ni kweli unachosema Mkuu SG8,mambo kama haya hata ulaya yapo ndio maana kuna devil worshippers na hata religious sect kama za Kina David Koresh na wengine wengi. Sio kusema hawna haya mambo. Lakini tofauti yao na sisi ni mambo mawili1. definition ya what is news and what is not. Na,(2) what are the issues of national interest?
Uliza watanzania what are the issues of national interest hapa kwetu, nina hakika watu hawajui incl viongozi wetu na ndio maana hata yale ye kutuaibisha sisi tunaona ni news! Uzalendo zero!
So Mkuu SG8,hata wenzetu wanayo kama haya.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SG8
Errol Barnett, mtangazaji wa CNN anafanya vipindi kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Juzi alitoa kipinfi kuwa Kenya inaongoza kwa matumizi ya computer na Internet barani Afrika.

Sasa hivi naangalia kipindi hicho CNN kinasema Tanzania inaongoza kwa imani za uchawi duniani kutokana na utafiti wa Marekani. Kuna muhindi wa Tanzania kwenye hicho kipindi kama mkarimani amempeleka mtangazaji wa CNN kwa mganga wa kienyeji anaitwa Mama Safi.

Hizi ni fitna za CNN dhidi ya Tanzania kuwapendelea Wakenya? Je, ni kweli Watanzania tunaamini sana uchawi? Napata maswali mengi huku nikiangalia kipindi hiki kwa hasira.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
Hizi ni fitna tu!!
Hapa Kenya waganga kutoka TZ ni wengi na wanafuata wateja wengi KENYA.
Hivi ni nani anayeamini kati ya hawa!?
 
Sishangai hii assertion, kila nikikumbuka ile foleni ya kwenda kwa babu loliondo unapata picha na upande wa pili iman yetu inajengwa kwenye misingi gani.
Sadly, kuna vitu vingi vya kuji praise as a nation, ila leo tunapanda chat kwa wanga! Kaz ipo.
 
Back
Top Bottom