MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
GM eh! Tatizo unataka mapedejee tu! Nenda kwa Teamo fisadi mtoto!
Mke mwenza huyu nimeanza nae taratibu afu ndo nilikuwa nakuja huko kwenye hilo suali la anaongeaga nini na mume wa aunt yake? Sie wenyewe ni kaka etu ila tukiwa na shida nae twapitia kwa wifi afu anazifikisha! Huyu GM ni wa kutizamwa kwa third eye aisee!
Nakusubiri usichelewe, unibebee ile body spray yako manake mie nimeishiwa, wanja wa kungu pia njoo nao! Halo halo! Mwanamke urembo babu!
Inahuuuu??? source: Bishanga!
Muone kwanza Mtambuzi maana huwa anapiga ramli halafu ndio utamuona Mitishamba anaweza kukusaidia ikishindikana inabidi nikuchukue mimi
GM eh! Tatizo unataka mapedejee tu! Nenda kwa Teamo fisadi mtoto!
nitamuanzia wap? Anaonekana mnoko!
wa valeur poa tu hata mm penda valeur.
Nimemkumbuka Nazjaz kweli leo
nina mvuto mithl ya malaika!
U shld stop thinking like me dear, its dangerous!
au hawana nguv za kiume? Tusje walaum bure! Nimeskia klaudz wengi tasa!