bahati ya wapi shosti,nilijigonga weee mpaka nkachoka hata hawanishtukii.nshagive up.jaribu wewe labda utafanikiwa
Weka picha halafu tuone..
Hehehe!unanchoma kumoyo nayo ni kwa heshma ya anty ningetaka kumchukua cookie cku nying ungebak mjane tu!
Hehehe!
Watu na bahati zetu mwaya na bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi!
au hawana nguv za kiume? Tusje walaum bure! Nimeskia klaudz wengi tasa!
Cookie ni wangu
PAW wa King'asti,
waliobaki endelea nao hao wawili hawakuhusu, AshaDii alishakutambulisha kitambo!
g-mpoleeeeeeeeeeeeee cum zic way
inawezekana wameshajishtukia,wengi wao mpaka wapate valuu ndo wanajiita wanaume
kitakua kimesababshwa na nn?
Wameazima gx 100, utawashushua
weweeeeee! Acha hizo! Ni mzuri kila idara mm!
Asante mke mwenza!
Umesahau kumuambia pia akiwa na issue yoyote aongee na auntie AshaDii, mtoto wa kike anasikilizana nini na mjomba wake toiba sbukhana!
Nakupitia twende kwa wifi, furahi day ishaanza...
Baba-syndicate, unamjua samaki mkizi?
Usijesema sikukuonya!
Utakuwa ulizaliwa nacho au kuna mtu humu jf kakupiga juju
Mke mwenza huyu nimeanza nae taratibu afu ndo nilikuwa nakuja huko kwenye hilo suali la anaongeaga nini na mume wa aunt yake? Sie wenyewe ni kaka etu ila tukiwa na shida nae twapitia kwa wifi afu anazifikisha! Huyu GM ni wa kutizamwa kwa third eye aisee!Asante mke mwenza!
Umesahau kumuambia pia akiwa na issue yoyote aongee na auntie AshaDii, mtoto wa kike anasikilizana nini na mjomba wake toiba sbukhana!
Nakupitia twende kwa wifi, furahi day ishaanza...
nahs itakua juju ya jf! Wap mganga wa jf?