Hiyo Modem yako itakusaidia kwa Airtel au Voda sababu wanatumia mfumo unaofanana. Zantel wanatumia Modem za CDMA ambazo ndizo zenye speed ya kuridhishaHabar zenu???nina modem ya airtel nimeshaiunlock ila nikiweka line ya zantel inakua slow kweli,,, sasa sjui kwanini?? au nifanye nn??
aaah!!! ila hata nikiweka line ya tigo inakimbiza knoma