Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakuu,napenda kuwajuza rasmi kuwa wale wasio tumia vingamuzi vya TING au Star times bali wanatumia dish ni kuwa Clouds TV wameingia kunako satelite rasmi.lakini wako WEtsal 4 kwa receiver ya MPEG 4 kwani hizi DVB recevers hazikubali .Nimejaribu nimeshndwa kabisa.
Lakini sasa wenye cable services wanaipata safi sana
Lakini sasa wenye cable services wanaipata safi sana