munisijo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 1,107
- 916
Katika pitapita zangu,jana nlkutana na kipindi ndani ya Clouds TV ambapo Wema alikua ndie msanii aliyepewa nafasi ya kuonekana!
Tofauti na lengo kuu, la kpnd la kuelimisha, nlchokiona ni majigambo ya kipumbavu mbele ya watanzania wengi hoehae, et anajisifia 'utajiri' na kwa kushirikiana na mamaye wameona hiyo ndio njia sahihi ya kuwajibu wabaya wao bila kukumbuka kwamba kauli zao zinaweza kuwakeza watanzania wengi wanaoishi chini ya dola 1,wanaokaa chn madarasani na zaidi wale wanaolala usiku matumbo meupe kwa mlo mmoja tu wa mchana!
Sikatai, kuwa tajir si kitu kibaya lakn unapojisfia utajr kwa kutaja tarakm et MIL 400, ana uhakika TRA wakija kudai risiti na kukagua ulipaji kodi katika bidhaa na mihamalala yote aliyofanya mambo yatakua sawa!Ana fahamu kuwa kwa utajr wake huo wa MIL 400 anaodai anao, serikali inatakiwa iwe imepata kias gan cha kodi?!
Anyway, ngoja nimpe siku, naamini ukweli utajulikana ila kwa ushauri wangu kwa WEMA , muda huu ungekua mzur kuanza kulipa kodi, kufikia jinsi ya kurudisha shukran kwa watanzania maskn kama vile watoto yatima na wajane badala ya kupoteza muda kujisifia kwenye TV!
Ni mtazamo binafs, nawakilisha!
Tofauti na lengo kuu, la kpnd la kuelimisha, nlchokiona ni majigambo ya kipumbavu mbele ya watanzania wengi hoehae, et anajisifia 'utajiri' na kwa kushirikiana na mamaye wameona hiyo ndio njia sahihi ya kuwajibu wabaya wao bila kukumbuka kwamba kauli zao zinaweza kuwakeza watanzania wengi wanaoishi chini ya dola 1,wanaokaa chn madarasani na zaidi wale wanaolala usiku matumbo meupe kwa mlo mmoja tu wa mchana!
Sikatai, kuwa tajir si kitu kibaya lakn unapojisfia utajr kwa kutaja tarakm et MIL 400, ana uhakika TRA wakija kudai risiti na kukagua ulipaji kodi katika bidhaa na mihamalala yote aliyofanya mambo yatakua sawa!Ana fahamu kuwa kwa utajr wake huo wa MIL 400 anaodai anao, serikali inatakiwa iwe imepata kias gan cha kodi?!
Anyway, ngoja nimpe siku, naamini ukweli utajulikana ila kwa ushauri wangu kwa WEMA , muda huu ungekua mzur kuanza kulipa kodi, kufikia jinsi ya kurudisha shukran kwa watanzania maskn kama vile watoto yatima na wajane badala ya kupoteza muda kujisifia kwenye TV!
Ni mtazamo binafs, nawakilisha!