Clouds TV, huyu Ngoma ni kimeo

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Mtangazaji Hassan Ngoma aliyekuja kuziba nafasi ya Hudson Kamoga katika kipindi cha Clouds 360 baada ya yule mwingine kuondolewa anaonekana kutoimudu nafasi vema kutokana na hoja zake wakati wa kujadili habari za magazetini kuwa zenye uelewa finyu ama potofu.

Kwa mfano leo nimeona akizungumzia zoezi la uhakiki wa vyeti huku yeye kama anapotisha kuwa uhakiki utazame performance na sio vyeti jambo ambalo ni kinyume na zoezi na sheria kuwa mtu upate hiyo kazi kwa vyeti halali na si vinginevyo.

Tukitazama performance tu basi tunahalalisha makosa hayo ya forgery
Hii ni kama kufurahia safaka za muumini aliyezipata kwa njia chafu kama mauaji wizi n.k. Clouds hapo mmelamba ile karata maarufu iitwayo GARASA maana naona naye anaongea kwa upofu kama vile nae atapata ukurugenzi.

Bora hicho kiti cha tatu wawe wanakalia wageni waalikwa na na watangazaji wa column za sports. Huyo Dada na Chalii wake wanatosha kabisa kama amekosekana mtu mwenye weledi wa kuchambua habari.
 
Naona mna kazi maalum leo mwachen kijana achanganye hata mbuyu ulianza kama mchicha

Kuwa mchanga hakumaanishi uwe mpotoshaji
TV hutizamwa na watu wengi wasio na uelewa pia wanaoweza kubeba kauli na tafsiri za Mtangazaji
 
Hebu acheni jamani,... Sasa akifukuzwa kazi mtafaidika nin?? Hilo liclouds Lina watazamaji wake, wenye uelewa mdogo Kama hao watangazaji.

Hakuna aliyesema afukuzwe kazi bali ajirekebishe ama apangiwe kipindi atakachomudu
 
Achana na Hilo li klauzi. Angalia azam, ukutane na wachambuzi wakongwe Kama kina barwani muhuza, Raymond nyamwihula, Charles Hillary, Tido mhando na wabobezi kibao.
Hakuna aliyesema afukuzwe kazi bali ajirekebishe ama apangiwe kipindi atakachomudu
 
Hassan Ngoma ni mzuri sana kwenye kuzungumza anapohojiwa, utapenda kumsikiliza anapohojiwa kwani anajua sana kujenga hoja, nilimjua kupitia Power Breakfast on Saturday alikuwa mara kwa mara anahojiwa na Philiph Mwihava .
 
Mtangazaji Hassan Ngoma aliyekuja kuziba nafasi ya Hudson Kamoga katika kipindi cha Clouds 360 baada ya yule mwingine kuondolewa anaonekana kutoimudu nafasi vema kutokana na hoja zake wakati wa kujadili habari za magazetini kuwa zenye uelewa finyu ama potofu.

Kwa mfano leo nimeona akizungumzia zoezi la uhakiki wa vyeti huku yeye kama anapotisha kuwa uhakiki utazame performance na sio vyeti jambo ambalo ni kinyume na zoezi na sheria kuwa mtu upate hiyo kazi kwa vyeti halali na si vinginevyo.

Tukitazama performance tu basi tunahalalisha makosa hayo ya forgery
Hii ni kama kufurahia safaka za muumini aliyezipata kwa njia chafu kama mauaji wizi n.k. Clouds hapo mmelamba ile karata maarufu iitwayo GARASA maana naona naye anaongea kwa upofu kama vile nae atapata ukurugenzi.

Bora hicho kiti cha tatu wawe wanakalia wageni waalikwa na na watangazaji wa column za sports. Huyo Dada na Chalii wake wanatosha kabisa kama amekosekana mtu mwenye weledi wa kuchambua habari.
Nakujibu hivi, Hassan Ngoma si mwajiriwa wala mtangazaji wa Clouds, ni mwalikwa tu katika hicho kipindi. Yeye ni mmliki wa Chuo kimoja huko Mbezi, Mlimani Professional School. So Acha Unafiki kwa mambo usiyoyajua.
 
Nakujibu hivi, Hassan Ngoma si mwajiriwa wala mtangazaji wa Clouds, ni mwalikwa tu katika hicho kipindi. Yeye ni mmliki wa Chuo kimoja huko Mbezi, Mlimani Professional School. So Acha Unafiki kwa mambo usiyoyajua.

Mualikwa kila siku?
Pumba kamwagie kuku huko
 
Mtangazaji Hassan Ngoma aliyekuja kuziba nafasi ya Hudson Kamoga katika kipindi cha Clouds 360 baada ya yule mwingine kuondolewa anaonekana kutoimudu nafasi vema kutokana na hoja zake wakati wa kujadili habari za magazetini kuwa zenye uelewa finyu ama potofu.

Kwa mfano leo nimeona akizungumzia zoezi la uhakiki wa vyeti huku yeye kama anapotisha kuwa uhakiki utazame performance na sio vyeti jambo ambalo ni kinyume na zoezi na sheria kuwa mtu upate hiyo kazi kwa vyeti halali na si vinginevyo.

Tukitazama performance tu basi tunahalalisha makosa hayo ya forgery
Hii ni kama kufurahia safaka za muumini aliyezipata kwa njia chafu kama mauaji wizi n.k. Clouds hapo mmelamba ile karata maarufu iitwayo GARASA maana naona naye anaongea kwa upofu kama vile nae atapata ukurugenzi.

Bora hicho kiti cha tatu wawe wanakalia wageni waalikwa na na watangazaji wa column za sports. Huyo Dada na Chalii wake wanatosha kabisa kama amekosekana mtu mwenye weledi wa kuchambua habari.
Daa!Wabongo kwa roho nzuri hatujambo.Tatizo letu kubwa tunapenda kuwalinganisha watu na tunatamani watu wafanane kwa kila kitu.Mwanahabari anaweza kuwa na hoja au swali la uchokozi hivi against hoja iliyopo mezani,lakini nia kubwa ni kufikia suluhisho la pamoja.Nawasilisha
 
Mtangazaji Hassan Ngoma aliyekuja kuziba nafasi ya Hudson Kamoga katika kipindi cha Clouds 360 baada ya yule mwingine kuondolewa anaonekana kutoimudu nafasi vema kutokana na hoja zake wakati wa kujadili habari za magazetini kuwa zenye uelewa finyu ama potofu.

Kwa mfano leo nimeona akizungumzia zoezi la uhakiki wa vyeti huku yeye kama anapotisha kuwa uhakiki utazame performance na sio vyeti jambo ambalo ni kinyume na zoezi na sheria kuwa mtu upate hiyo kazi kwa vyeti halali na si vinginevyo.

Tukitazama performance tu basi tunahalalisha makosa hayo ya forgery
Hii ni kama kufurahia safaka za muumini aliyezipata kwa njia chafu kama mauaji wizi n.k. Clouds hapo mmelamba ile karata maarufu iitwayo GARASA maana naona naye anaongea kwa upofu kama vile nae atapata ukurugenzi.

Bora hicho kiti cha tatu wawe wanakalia wageni waalikwa na na watangazaji wa column za sports. Huyo Dada na Chalii wake wanatosha kabisa kama amekosekana mtu mwenye weledi wa kuchambua habari.
Anachonikera yeye anachangia kila habari,hata ambayo hana uelewa nayo.Kiufupi anatembelea nyota ya kamoga ya kujipendekeza kwa watawala.Big up Sam Msasali,ila ukiendelea kuwa neutral hivyo basi teuzi zitakuwa zinakupita kushoto.
 
Daa!Wabongo kwa roho nzuri hatujambo.Tatizo letu kubwa tunapenda kuwalinganisha watu na tunatamani watu wafanane kwa kila kitu.Mwanahabari anaweza kuwa na hoja au swali la uchokozi hivi against hoja iliyopo mezani,lakini nia kubwa ni kufikia suluhisho la pamoja.Nawasilisha
Sasa yeye anamaliza kabisa,tena anatoa na namna ya utekelezaji na anaconclude kuwa ndio namna bora.Halafu anaweka nukta,anamwambia Sam endelea na habari nyingine.
 
Msishangae sana kwakuwa hata sera za hicho chombo cha habari huangalia zaidi swagga na kama una uwezo mzuri wa kupiga majungu wala sio cv
 
Ki ukweli huyu jamaa amepwaya sababu siijui lakini namuona kama anatumia nguvu zaidi kuchangia hoja
 
Back
Top Bottom