Kibwagizo
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 130
- 8
Katika magazeti kipindi cha asubuhi breakfast.Wanadai eti wanakirumba wamchague kijana ambaye ni mzawa.Sasa mimi najiuliza hivi
Clouds fm wanamjua Jaki Masamaki mgombea udiwani kata ya Kirumba kwa tiketi ya CCM kuliko wanakirumba wenyewe ambao sasa imasemekana kila kona anakopita kwa mguu anazomewa,wakidai toka ajiingize katika biashara aliacha mazoea na vijana wa Kirumba,na idadi kubwa hawamjui huyu jamaa, na huyu jamaa sio mzawa kama Clauds wanavodai.
NAWASILISHA
Clouds fm wanamjua Jaki Masamaki mgombea udiwani kata ya Kirumba kwa tiketi ya CCM kuliko wanakirumba wenyewe ambao sasa imasemekana kila kona anakopita kwa mguu anazomewa,wakidai toka ajiingize katika biashara aliacha mazoea na vijana wa Kirumba,na idadi kubwa hawamjui huyu jamaa, na huyu jamaa sio mzawa kama Clauds wanavodai.
NAWASILISHA