MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Huyo anayeitwa PJ anastahili lawama kama anavyostahili lawama Mkuu wa mkoa wa Mara, RPO Mara, Mkuu wa Wilaya Tarime/Rorya na OCD. Wako wengine ambao kwa taarifa nilizonazo wako kwenye payroll ya Barrick.
Bahati mbaya Barrick ki-historia hawajawahi kuwa wazuri. Jaribu ku-google kampuni ya Barrick na mazingira. Sehemu kubwa ni lawama za mabaya yake. Bahati mbaya zaidi kwetu TZ ni mazingira pamoja na corruption!
Spika Six alipokuja juu kumunyamazisha Mb. Cheyo, pia ilisikika kwamba kapata kitu ili Barrick isijadiliwe kwa ubaya. Yaweza kuwa kweli maana sikumbuki kusikia taarifa ya Kamati ya Bunge juu ya North Mara ktk kikao kilichopita kama ilivyoahidiwa. Hata hivyo sitegemei la ajabu maana hata NEMC waliishia kutoa matamko ya kisiasa pamoja na nguvu ya kisheria waliyo nayo.
Kama NEMC ilishindwa kusema mambo ya kitaalamu, itakuwa kamati ya Bunge? Kamati nyingi za Bunge hazina uwezo wa kitaalamu kiasi cha kuichunguza North Mara.
Nasema haya ili kuonyesha kwamba, Barrick imewateka wengi ktk nchi hii. Kila mtu analipwa kwa kiwango chake kulingana na nguvu yake ktk serikali. PJ yeye anaweza kuwa ameishia kupewa pesa ya lunch na kupanda ndege lakini iko siku utaambiwa TZ tulikuwa tunapewa sehemu ndogo ya kipato cha madini kwa sababu sehemu kubwa ilikuwa ikiwekwa akaunti ya Rais kama ilivyokuwa Zaire ya Mobutu au Ilikuwa ikichukuliwa na chama Tawala.
Bahati mbaya Barrick ki-historia hawajawahi kuwa wazuri. Jaribu ku-google kampuni ya Barrick na mazingira. Sehemu kubwa ni lawama za mabaya yake. Bahati mbaya zaidi kwetu TZ ni mazingira pamoja na corruption!
Spika Six alipokuja juu kumunyamazisha Mb. Cheyo, pia ilisikika kwamba kapata kitu ili Barrick isijadiliwe kwa ubaya. Yaweza kuwa kweli maana sikumbuki kusikia taarifa ya Kamati ya Bunge juu ya North Mara ktk kikao kilichopita kama ilivyoahidiwa. Hata hivyo sitegemei la ajabu maana hata NEMC waliishia kutoa matamko ya kisiasa pamoja na nguvu ya kisheria waliyo nayo.
Kama NEMC ilishindwa kusema mambo ya kitaalamu, itakuwa kamati ya Bunge? Kamati nyingi za Bunge hazina uwezo wa kitaalamu kiasi cha kuichunguza North Mara.
Nasema haya ili kuonyesha kwamba, Barrick imewateka wengi ktk nchi hii. Kila mtu analipwa kwa kiwango chake kulingana na nguvu yake ktk serikali. PJ yeye anaweza kuwa ameishia kupewa pesa ya lunch na kupanda ndege lakini iko siku utaambiwa TZ tulikuwa tunapewa sehemu ndogo ya kipato cha madini kwa sababu sehemu kubwa ilikuwa ikiwekwa akaunti ya Rais kama ilivyokuwa Zaire ya Mobutu au Ilikuwa ikichukuliwa na chama Tawala.