Kwa hiyo wewe unaona huu ufisadi wa kuji-prostitute kwa makampuni ya uchimbaji dhahabu na kudanganya Watanzania for a fee kuwa ni biashara poa tu?
Unatetea ufisadi huu mchana kweupe?
Kijana punguza speed. Ni nani hasa alikwambia mimi natetea ufisadi?, kama wewe una hasira zako na Clouds FM ni kivyakovyako, ila ukweli ni kwamba Clouds FM did nothing wrong. Ni kama vile vyombo vya habari vya US vinavyorusha ads mbalimbali kuhusu Obama's birth au health care reform distortions. Kama umeumia sana na wewe nunua air time ufanye counter PR yako kama wewe una uchungu sana na madini ya nchi yako. Siyo kuleta blah blah blah hapa tunataka facts. siyo ubabaishaji na distortions. kama lawama walaumu hao wachimba madini, Clouds wao ni wajumbe tu. Au umenyimwa tender ya kuwatangaza nini?. Maana "hamna hamna ndimo mlimwamo"