WATAZANIA TUMELOGWA, ALIYETULOGA ALISHAKUFA KWA HIYO HAKUNA DAWA YA MATATIZO YETU!
Kwanza nianze na hii signature kabla sijachambua ulichoandika hapo juu. Haya ya kuamini uchawi na warogi ndiyo yameharibu akili yako.
WATAZANIA TUMELOGWA, ALIYETULOGA ALISHAKUFA KWA HIYO HAKUNA DAWA YA MATATIZO YETU!
Now, can you put this in simple English (lol)?Clouds FM is a crass, low-brow hodgepodge of unappealing potty mouthed misfits, mid age crises combating social climbers brandishing a string of ever increasing shocking shallowness, grotesquely inappropriate chatty-chatty business, unscrupulous half truths, inconspicuously sponsored promotions, and a generally barely covered ill-caricaturing of the collective intelligence of the good people of Dar.
The failed slapstick is hazardous to your health, the toxic sugary dilettantism is at the very least cancerous, the idle dabbling is a waste of time and wattage.
Watasoma tu na dictionary mkuu... HahahahaNina hasira na mediocres wanaojipitisha kama radio station.
That is adequately simple English, au ulitaka niweke references za Quantum Mechanics na String Theory kui-simplify?
Clouds FM is a crass, low-brow hodgepodge of unappealing potty mouthed misfits, mid age crises combating social climbers brandishing a string of ever increasing shocking shallowness
Nina hasira na mediocres wanaojipitisha kama radio station.
Redio zote hazina malengo na walengwa sawa. Kama vile ambavyo kuna akina Rush, Howard Stern, Jim Lehrer, n.k., kutakuwepo hao Clouds na akina PJ pia.
Ila kama you've had it up here and you feel you need to exhale, write or call them up and let them know how you feel....
Sasa unataka watu kama hawa wajipitishe kama wanaweza kutoa social-political commentary kuhusu Tanzania? Kuhusu UN?
Ndiyo maana hunisikii kupiga kelele kuhusu taste ya muziki ya Clouds FM, au obsession yao low-brow na michezo.?
Lakini the minute wakiingia kwenye siasa lazima tuwa call out kwamba ni wachovu, hata wao wenyewe wanajua.
Nina hasira na mediocres wanaojipitisha kama radio station.
That is adequately simple English, au ulitaka niweke references za Quantum Mechanics na String Theory kui-simplify?
Itapendeza kama ukiwaandikia na kuwaeleza sentiments zako.
Yaani kuwaandikia kutakuwa ni kama kuwa elevate. Kuna washua wanasaga Philly Inquirer na NY Post au hata Newsweek lakini huwezi kuona wanawaandikia hata siku moja.
After all, nakubaliana na point yako kwamba wana segment ya population kwa hiyo kuwaandikia wakati mimi si segment hiyo nitakuwa nachanganya. Ila naandika hapa kama washabiki wao wanasoma waweze kujua Clouds ni kanyaboya. Na kama wanaweza kuwatetea wawatete tuende toe-by-toe in the true Bluray tradition.
Twende mbele turudi nyuma, Clouds FM kama chombo chochote cha habari kinaendeshwa kibiashara na biashara yao ni pamoja na matangazo ya biashara.
Sioni ubaya kwa wao kutumia chombo chao kujiingizia kipato kwa kuwafagilia wateja wao, Je unajua ni kiasi gani wamelipwa kwa kazi hii? Mbona hata kina Matunge na waganga wa kienyeji hujitangaza kwenye vyombo vya habari. Kwani mjumbe hauwawi na Clouds si chama cha siasa, tutenganishe siasa na biashara.
Hastahili lawama yeye kama PJ, afterall ye ni mtu mdogo sana. Nakubaliana na mchangiaji mmoja aliyesema kwamba hana uwezo wa kupanga program ya kwenda kufanya mahojiano na yeyote bila order ya bosi wake.
Kukosekana kwa elimu ya uraia ni moja kati ya matatizo yanayo wanyima vijana wetu uzalendo. Mgao usio na uwiano wa pato la taifa linaweza kabisa kufanya watu wakasahau utaifa na kuendekeza njaa binafsi.
Maadili mabaya ya ki-uongozi wa taifa inapelekea watu kuona kwamba usaliti ndio unaolipa kuliko maadili mema.
Conclusion: PJ asilaumie, alaumiwe mwenye kituo ndie mwanzo wa yote haya.
Hastahili lawama yeye kama PJ, afterall ye ni mtu mdogo sana. Nakubaliana na mchangiaji mmoja aliyesema kwamba hana uwezo wa kupanga program ya kwenda kufanya mahojiano na yeyote bila order ya bosi wake.
Kukosekana kwa elimu ya uraia ni moja kati ya matatizo yanayo wanyima vijana wetu uzalendo. Mgao usio na uwiano wa pato la taifa linaweza kabisa kufanya watu wakasahau utaifa na kuendekeza njaa binafsi.
Maadili mabaya ya ki-uongozi wa taifa inapelekea watu kuona kwamba usaliti ndio unaolipa kuliko maadili mema.
Conclusion: PJ asilaumie, alaumiwe mwenye kituo ndie mwanzo wa yote haya.