Jamani, Kuna kipindi cha njia panda CLOUDS FM hiyo hiyo. Dr. Seba alikuwa na binti wa miaka 10 ameharibiwa na babu mmoja wa huko Mwananyamala kama sikosei na juu ya hivyo kaambukizwa UKIMWI. Babu hakamatiki jalada lilikuwa Oysterbay lakini inavyoelekea Babu huyo mzito kiaina flani, maana kesi haieleweki, hospitali nako ushirikiano ulikuwa haba, hiyo ni Muhimbili. Ningependa kujua ilifikia wapi maana SEBA alijaribu kuomba wenye taaluma zao, km Wanasheria, TGNP, Tamwa na jamii kusaidia kuona angalau kuna kitu kinafanywa juu ya hili.
TUNAELEKEA WAPI JAMANI???
TUNAELEKEA WAPI JAMANI???