trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #21
Duh.. Ingawa naikubali CDM kama chama makini,ila huyu jamaa hapa "aliteleza"... Mfano:-
-kujiita "Rais",na Lema kama PM wake wa nchi ya Kaskazini...
-kutishia kufunga mpaka wa nchi hiyo ya "Kaskazini"
-kufananisha nchi yake ya "Kaskazini" na "Sudan Kusini" kwa kujitenga
-kutangaza kwa hadhira yake kuwa nchi hiyo ya "Kaskazini",wananchi wake wataishi kama Ulaya kwani rasilimali nyingi,kama Ml. Kilimanjaro,Madini,Ziwa,n.k.
-kujiita "Rais",na Lema kama PM wake wa nchi ya Kaskazini...
-kutishia kufunga mpaka wa nchi hiyo ya "Kaskazini"
-kufananisha nchi yake ya "Kaskazini" na "Sudan Kusini" kwa kujitenga
-kutangaza kwa hadhira yake kuwa nchi hiyo ya "Kaskazini",wananchi wake wataishi kama Ulaya kwani rasilimali nyingi,kama Ml. Kilimanjaro,Madini,Ziwa,n.k.