malimamalima
Member
- Feb 18, 2011
- 66
- 15
hebu mwacheni dada wa watu shy amewakosea nini? issue ya clouds fm na skendo za ngono na wasanii wa kike wa tht sasa shy anaingizwaje humu?
Kuna tofauti hapo Mkuu, Watangazaji na mabosi wa Clouds wanatake advantaje kwa hawa mabinti wa THT coz wanategemea msaada kutoka kwao, tofauti na 'mahusiano' {kama yapo maana wote hawajathibitisha} ya Sugu na Shy.uko sahihi mkuu... issue ni leo unanikandya mimi kwa ngono halafu kesho unafanya, ni bora kukaa kimya maana sugu ana maisha yake menginehivi unamjua shyrose vizuri mazee??
...AND LATER MBILINYI FOOKED SHYROSE BHANJI...
i may no like clouds fm culture but mbulinyi shot himself on the foot by shagging shyrose
Kuna tofauti hapo Mkuu, Watangazaji na mabosi wa Clouds wanatake advantaje kwa hawa mabinti wa THT coz wanategemea msaada kutoka kwao, tofauti na 'mahusiano' {kama yapo maana wote hawajathibitisha} ya Sugu na Shy.
Hakuna cha vitu adimu wala nini............ ALIKUWA ANATUMIKA TU...... UBUNGE WA JAMAA NDO VITU ADIMU ALIVYOKUWA ANAVILALAMIKIAMTM ebu tujuze mapungufu yake Shy..mana kijana Jafarali alikuwa analalama tu kwenye vyombo vya habari baadaya kutosana..yaonekana Shy anavitu adimu ....
MTM hapo umeongea pumba. Hata kama Sugu kweli ana mahusiano na Shyrose, mimi sioni tatizo hapo kwani wote wawili ni watu wazima na ni mahusiano kati ya two consenting adults. Ni upuuzi sana kuanza kuwa judge watu wazima kwa mahusiano yao binafsi.
Suala la Prime Time Promotions/Clouds kuwatumia wasanii wadogo wa kike kwa ngono ni kitu serious sana. Hawa mabinti ni wadogo sana ki-umri, most of them are just teenagers. Ili wafanikiwe kimuziki, mabosi wa Prime Time Promotions na Clouds pamoja na DJs na watangazaji wao wamekuwa wakidai rushwa ya ngono kwa watoto hao wa kike. They are sexually exploiting these young girls na kuwatumia sana kwa ngono kama masharti ya kutengeneza nyimbo zao na kuzipiga kwenye redio.
Again, suala la Mr II au Mbilinyi kuwa na Shyrose, hata kama ni kweli, hao wote ni watu wazima. Huwezi kuhusisha/kufananisha au kuzungumzia suala hili na sexual exploitation inayofanywa na watu wa Clouds kwa mabinti wa THT ambao wanalazimishwa kutoa rushwa ya ngono.
Dogo naona umeingia na ku-copy manomino ya watu. Any way karibu womanizer mdogo.wewe si ndiyo Arnold Kayanda wewe, yule anayetangaza top 20. Hapa unatafuta uhakika kama kale kademu kenu Lina kameshaliwa na Kibonde. Hizo habari ulizaneni hukohuko Clouds na siyo kuleta ufakunyuzi hapa jamvini.
wewe si ndiyo Arnold Kayanda wewe, yule anayetangaza top 20. Hapa unatafuta uhakika kama kale kademu kenu Lina kameshaliwa na Kibonde. Hizo habari ulizaneni hukohuko Clouds na siyo kuleta ufakunyuzi hapa jamvini.
Hayo mambo kwa sasa yapo kila mahara sio clouds tuu nilwai fanya temple pale wanamuziki enzi zile walikuwa wanamegwa na madj zaidi ya wawili mpaka ugomvi.kuna wadada walishazichapa studio kisa aliyewabandua ni mmoja sasa kuna aliyetaka kumhodhi mwenzake anywee!tena ni wanamuziki maarufu kwa sasa
MTM ebu tujuze mapungufu yake Shy..mana kijana Jafarali alikuwa analalama tu kwenye vyombo vya habari baadaya kutosana..yaonekana Shy anavitu adimu ....
Kuna tofauti hapo Mkuu, Watangazaji na mabosi wa Clouds wanatake advantaje kwa hawa mabinti wa THT coz wanategemea msaada kutoka kwao, tofauti na 'mahusiano' {kama yapo maana wote hawajathibitisha} ya Sugu na Shy.